huwa siamini uchawi ila mtu ukifungua studio kama msanii wanakulostisha maisha foreva,ukiwa msanii bora nako matatizo sijui kwann hawapendani? anyway nimesika ya mr ebo hata madaktari walikuwa wanashangaa akiwekewa damu inapotea gafla haya vengu nae kukaa kote ICU ugonjwa gani huo?? Inabidi maombi yafanye kazi.
hata mimi ningependa kujua hali yake jamani, ajuaye atujuze please....... inasikitisha kusikia mtu anaumwa muda mrefu na vyombo vya habari havisemi lolote, wanasubiri akifa ndo wanampa kipindi maalum, this is nonsense. Ya Mr. Ebbo ilinisikitisha kujua kuwa aliugua kwa muda mrefu but hakuna chombo cha habari kilichomuongelea wakati wa ugonjwa wake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.