Laana wewe!Kwanini lisinge ugua limasanja linakera sana siku hizi.
Kwanini lisinge ugua limasanja linakera sana siku hizi.
Hivi mnadhani india wanatibu kila ugonjwa. Na mnahakika muhimbili wameshindwa? Tisipende kuconclude kila mgonjwa lazima aende india tu tujue kwanza anaumwa nini na je madaktari wamethibitisha hapa hatibiki? Wapi Jason Bourne hebu kachunguze utupe a to z ili wamkimbize india or?
YAni vengu ananiuma ki ukweli kutoka moyoni , i wish ningekuwa na uwezo ningempeleka india jamani ..
Mhhh Ugua pole Vengu tunakukumbuka ulinogesha sana Kampeni za JK sasa hivi yupo Ikulu anakula kuku kwa mrija alistahili akukumbuke angalau wakukimbize India upatiwe na wewe matibabu naamini bila ze comedy JK alikuwa chaliiii sasa amewatupa. Jamani wana CCM mchangishane muokoe maisha ya kijana wenu 2015 atawasaidia tena.
JK ameshamtembelea Vengu hospitali, ndo analipa fadhila....
Kwanini lisinge ugua limasanja linakera sana siku hizi.
Masanja anakera nini? Au n wewe unaishi alipoolewa dadako?Kwanini lisinge ugua limasanja linakera sana siku hizi.