Venezuela Pres. Nicolas Maduro Anusurika Kuuawa

Nalendwa

JF-Expert Member
Aug 9, 2016
7,467
13,024




Rais wa Venezuela amenusulika katika jaribio linalosemekana la kutaka kumuua kwa kutumia drone device, wakati akihutubia mkutano mjini Caracas. Rais Maduro hakupata madhara yoyote katika tukio hilo ingawa wanajeshi saba waliumia.

Television ya Taifa ilionyesha hotuba ya Rais ikikatishwa ghafla wakati wa sherehe (National Guard's 81 anniversary)
Waziri wa habari wa Venezuela amenukuliwa akisema, "There had been an "attack" against the president involving drones loaded with explotives.
Maduro is "fine" and continuing to work"


Maduro alikuwa kasimama pembeni ya mke wake Cilia Flores na baadhi ya maafisa wa Jeshi. Video ilimuonyesha Flores kushtuka na kuangalia juu baada ya mlio wa milipuko.

Venezuelan president Nicolás Maduro survives drone assassination attempt
 
inakoendea venezuela lazima wataanza kuzichapa wao kwa wao, maisha magumu inflation inakaribia asilimia milioni moja, kila kukicha watu wanakimbia nchi, colombia mpk sasa ishapokea wakimbizi laki nne, kwakweli maduro yupo kwe wakati mgumu sana na hivi assassinations attempts zimeshaanza duh cjui itakuwaje
 
inakoendea venezuela lazima wataanza kuzichapa wao kwa wao, maisha magumu inflation inakaribia asilimia milioni moja, kila kukicha watu wanakimbia nchi, colombia mpk sasa ishapokea wakimbizi laki nne, kwakweli maduro yupo kwe wakati mgumu sana na hivi assassinations attempts zimeshaanza duh cjui itakuwaje


Halafu hii ni mara ya pili?!, wanamtafuta haswa!
 
Mnaojuaga kuchambua siasa mtufundishe.

Nini kimefikisha Venezuela ilipo?

We acha tu, uzuri wanaitwa wachambuzi na sio mafundi au wataalam. Siasa kama mpira tu. Wachambuzi wengiiiii.

Venezuela hii hii wakati wa Hugo ilikua imenawiri kiasi cha yule rais kuwafukuza mashirika kama WB kwamba haihitaji msaada wao ndio imefikia hapa?

Acha tusubirie wachambuzi tu..haina namna.
 
We acha tu, uzuri wanaitwa wachambuzi na sio mafundi au wataalam. Siasa kama mpira tu. Wachambuzi wengiiiii.

Venezuela hii hii wakati wa Hugo ilikua imenawiri kiasi cha yule rais kuwafukuza mashirika kama WB kwamba haihitaji msaada wao ndio imefikia hapa?

Acha tusubirie wachambuzi tu..haina namna.

Thanks. That much I know kwamba Venezuala ilikuwa inafanya vizuri.

I guess bila stability ya nchi hamna kinachoweza kusogeza nchi mbele.

Walikuwa na proper housing system na medical facilities zilikuwa njema sana kama sijakosea.
 
Thanks. That much I know kwamba Venezuala ilikuwa inafanya vizuri.

I guess bila stability ya nchi hamna kinachoweza kusogeza nchi mbele.

Walikuwa na proper housing system na medical facilities zilikuwa njema sana kama sijakosea.
Yaani inafika mahali ni kuombea amani tu katika nchi ndogo zenye utajiri mkubwa maana mdhungu ndio anaziwinda kama simba.
Ni kuomba ulinzi wa kimungu tu walahi!
 
Yaani inafika mahali ni kuombea amani tu katika nchi ndogo zenye utajiri mkubwa maana mdhungu ndio anaziwinda kama simba.
Ni kuomba ulinzi wa kimungu tu walahi!

Of course. Pata picha Venezuela ndo wanashika namba 5 kwa ku export crude oil,kwenda Kwa Trump.

Na kwa Europe ni exporter namba 3 baada ya Marekani na China wa bidhaa zake.

Lazima wampangie mkakati wa kum destabilize wajinyakulie chao mapemaaaa.:confused::confused:
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom