Venezuela iko njiapanda nani atakaefanikiwa kati ya USA na Russia

mulwanaka

JF-Expert Member
Feb 19, 2017
5,262
12,834
Leo asbuhi kiongozi wa upizani wa Venezuela Juan Guaidan ameapishwa kua Raisi wampito wa Venezuela bila kuepo kwa uchaguzi wowote, wakati mda wa Nicolas Maduro bado haujaisha, USA Ufaransa Uigereza na nchi 11 za latino America zimemtambua kama kiongozi halali wa Venezuela wakati huo huo Russia China na Uturuki/ Turkey wana mtambua Nicolas Manduro kama kiongozi halali na wako tayari kumlinda kwa gharama zozote, je huo msuguano baina ya hizo nchi bingwa za Dunia nani ataumia?, naona vita kama ya Syria Yemen na Ukuraini inakaribia Venezuela je nani atashinda? Kumbuka Venezuela ndo nchi inayo ongoza katika uchimbaji wamafuta 70% katika eneo la latino America na uchumi wao unategemea Mafuta na Marikani ndo soko lao kuu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wamekosea.

Walitakiwa waanzie Tanzania ndio waende kwa Maduro

Tundu lisu wahi haraka uje tukuapishe kulinda maslahi ya taifa hili
Hahaha nyie waonga nani anaweza kuthubutu kujiapisha....utasikia ho nimeshinda ila citaki watu kumwage damu....kama hataki kunipa uraisi basi yaishe .....hahah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninasimama na Venezuela, ninasimama na Maduró.

Russia, China, Turkey na IR Iran nawaamini katika kutetea haki na kupinga ushetani wa USA.

#VamosVenezuela #IStandWithMaduro
 
Leo asbuhi kiongozi wa upizani wa Venezuela Juan Guaidan ameapishwa kua Raisi wampito wa Venezuela bila kuepo kwa uchaguzi wowote, wakati mda wa Nicolas Maduro bado haujaisha, USA Ufaransa Uigereza na nchi 11 za latino America zimemtambua kama kiongozi halali wa Venezuela wakati huo huo Russia China na Uturuki/ Turkey wana mtambua Nicolas Manduro kama kiongozi halali na wako tayari kumlinda kwa gharama zozote, je huo msuguano baina ya hizo nchi bingwa za Dunia nani ataumia?, naona vita kama ya Syria Yemen na Ukuraini inakaribia Venezuela je nani atashinda? Kumbuka Venezuela ndo nchi inayo ongoza katika uchimbaji wamafuta 70% katika eneo la latino America na uchumi wao unategemea Mafuta na Marikani ndo soko lao kuu .

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa wana mafuta mengi sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"Mr Guaidó is the head of the National Assembly and has cited articles 233 and 333 of the constitution which allow him to assume interim power in the absence of the president. He argues Mr Maduro is not president because the elections are invalid" - BBC

USA atashinda hapa.
USA hawezi kushinda kwa wakati hu ana matatizo ya kiserikali kwake hawezi kuruhusu walinda amani huku venezuela wakati Russia tayari anaomba vibali kutoka kwa Nicolas kuingiza walinda amani.....pia tangu zamani USA ilishindwa kumuondoa huyu jama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom