KIJOME
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 3,084
- 732
Je kuhusu kumuuzia jamaa mbuga ya serengeti ili awe bwana mkubwa??Kama ni ishu ya kutenganisha kofia ya Mwenyekiti na uraisi ndani ya CCM, basi mimi namuunga mkono Lowassa hilo ni jambo jema kwa demokrasia ya TANZANIA.