mwitaz
JF-Expert Member
- Feb 19, 2012
- 315
- 93
Mwandika hoja hii hafahamu aoengealo!
Nafahamu sana nia ya Mathayo Vedestus si kugombea Musoma mjini bali ni Jimbo la Serengeti.
KONGOTO, kwa tarifa yako jua kuwa:-
i. Mathayo anafahamu hawezi Kushinda Musoma mjini.
ii. Rafiki yake Mathayo aitwaye Ndg. Deogratius Mwita Ndege aliyegombea Udiwani CCM) katika Kata ya Bweri anasema kuwa Mathayo hana mpango wa kugombea Musoma mjini kwani hawezi kupita hata kama marafiki zake akina Lowasa na Rostam watamfadhili.
iii. Wana CCM; Nimrod Mkono, Mb. Musoma vijijini, Waziri Stephen Wasira, Mb. Bunda na wana CCM wengine pamoja na wimbi la chadema lililokuwapo na lililopo ndio waliomsaidia Mb.wa Musoma mjini Ndg. Vincent Nyerere chadema) kumng'oa Mathayo..
Kundi hili hata sasa halimtaki Mathayo Thadeus Manyinyi kwa sababu anajigamba kuwa yeye ni Tajiri na anakundi imara la Edward Lowasa
iv. Matajiri na wafanya Biashara wa Musoma hawampendi Mathayo kwa tabia yake ya tisha tisha na shusha bei kwani wachinjaji wa Ng'ombe wanasema kuwa Mathayo anashusha bei ya Nyama ilhali anachinja Nyati na Mbogo kutoka Hifadhi za Serengeti; kibaya zaidi ana Chinjio lake binafsi lililopo nyuma ya Sheli yake ya Mafuta pale Marweli
..kwingineko, wauza nafaka wana mlaumu kwa kitendo chake cha kujitafutia kibari cha kupewa nafaka kutoka magala ya Kitaifa ambayo anapaswa kugawia wana nchi bure lakini yeye anauzia wakazi wa Musoma kwa bei nafuu ilhali ni Kinyume cha sheria na vilevile anaharibia biashara hawa wafanyabiashara.
v. Mathayo tangu angushwe ubunge ameandaa Mikutano miwili pale mjini Bus Stop; alizomewa mara ya Kwanza.
..mara ya pili, alienda kujisafisafisha kuhusu kesi ya kuuza nafaka lakini Nguvu ya Umma Kwa ishara ya vidole viwili vya chadema vilisheheni hatimaye watu walimtoroka Mathayo akiwa jukwani.
vi. Kwingineko, Musoma mjini wimbi la chadema linavuma kwa upepo mkali kutoka ziwa Viktoria.
Vii. Mb. Vincent Nyerere anakubarika kwa maendeleo/mabadiriko aliyoleta kule Musoma Mjini; kwingineko, mikutano huwa inapata umati mkubwa mno na hazomewi kama Mathayo.
..la kustaajabisha ni kuwa siku Mb. Joshua Nassary alishinda watu wa Musoma Mjini walisherehekea mno; pikipiki na magari yalikuwa ya bendera za chadema zikipepea.
Kwa haya na mengine mengi Mathayo Thadeus Manyinyi hawezi kufanikiwa kuwa Mbunge Musoma Mjini hata akitumia fedha kiasi gani!
Nawasilisha kwa uhakika.
Nafahamu sana nia ya Mathayo Vedestus si kugombea Musoma mjini bali ni Jimbo la Serengeti.
KONGOTO, kwa tarifa yako jua kuwa:-
i. Mathayo anafahamu hawezi Kushinda Musoma mjini.
ii. Rafiki yake Mathayo aitwaye Ndg. Deogratius Mwita Ndege aliyegombea Udiwani CCM) katika Kata ya Bweri anasema kuwa Mathayo hana mpango wa kugombea Musoma mjini kwani hawezi kupita hata kama marafiki zake akina Lowasa na Rostam watamfadhili.
iii. Wana CCM; Nimrod Mkono, Mb. Musoma vijijini, Waziri Stephen Wasira, Mb. Bunda na wana CCM wengine pamoja na wimbi la chadema lililokuwapo na lililopo ndio waliomsaidia Mb.wa Musoma mjini Ndg. Vincent Nyerere chadema) kumng'oa Mathayo..
Kundi hili hata sasa halimtaki Mathayo Thadeus Manyinyi kwa sababu anajigamba kuwa yeye ni Tajiri na anakundi imara la Edward Lowasa
iv. Matajiri na wafanya Biashara wa Musoma hawampendi Mathayo kwa tabia yake ya tisha tisha na shusha bei kwani wachinjaji wa Ng'ombe wanasema kuwa Mathayo anashusha bei ya Nyama ilhali anachinja Nyati na Mbogo kutoka Hifadhi za Serengeti; kibaya zaidi ana Chinjio lake binafsi lililopo nyuma ya Sheli yake ya Mafuta pale Marweli
..kwingineko, wauza nafaka wana mlaumu kwa kitendo chake cha kujitafutia kibari cha kupewa nafaka kutoka magala ya Kitaifa ambayo anapaswa kugawia wana nchi bure lakini yeye anauzia wakazi wa Musoma kwa bei nafuu ilhali ni Kinyume cha sheria na vilevile anaharibia biashara hawa wafanyabiashara.
v. Mathayo tangu angushwe ubunge ameandaa Mikutano miwili pale mjini Bus Stop; alizomewa mara ya Kwanza.
..mara ya pili, alienda kujisafisafisha kuhusu kesi ya kuuza nafaka lakini Nguvu ya Umma Kwa ishara ya vidole viwili vya chadema vilisheheni hatimaye watu walimtoroka Mathayo akiwa jukwani.
vi. Kwingineko, Musoma mjini wimbi la chadema linavuma kwa upepo mkali kutoka ziwa Viktoria.
Vii. Mb. Vincent Nyerere anakubarika kwa maendeleo/mabadiriko aliyoleta kule Musoma Mjini; kwingineko, mikutano huwa inapata umati mkubwa mno na hazomewi kama Mathayo.
..la kustaajabisha ni kuwa siku Mb. Joshua Nassary alishinda watu wa Musoma Mjini walisherehekea mno; pikipiki na magari yalikuwa ya bendera za chadema zikipepea.
Kwa haya na mengine mengi Mathayo Thadeus Manyinyi hawezi kufanikiwa kuwa Mbunge Musoma Mjini hata akitumia fedha kiasi gani!
Nawasilisha kwa uhakika.
Last edited by a moderator: