Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
y allah!!!! nijiavyo hata kama amiliki mabenk yote ulimwenguni mwanamke ni mwanamke tu,,,, na haiwezi ule msemo bab ni kichwa cha familly ikawa mama ni kichwa cha familly iwe itakavyokuwa mwanamme ni mwanamme tuu ,,,we umefanyiwa hivyo kwani???
y allah!!!! nijiavyo hata kama amiliki mabenk yote ulimwenguni mwanamke ni mwanamke tu,,,, na haiwezi ule msemo bab ni kichwa cha familly ikawa mama ni kichwa cha familly iwe itakavyokuwa mwanamme ni mwanamme tuu ,,,we umefanyiwa hivyo kwani???
Hizo kauli umethibitisha ni za kebehi kisa pesa?
Nawajua wengi tu ambao wana vipato kuliko partners wao na hawana matatizo hayo
Safi sana umemaliza kila kitu,ubarikiwe!!
Sijui tu kuthank ila ni maneno mazuri
y allah!!!! nijiavyo hata kama amiliki mabenk yote ulimwenguni mwanamke ni mwanamke tu,,,, na haiwezi ule msemo bab ni kichwa cha familly ikawa mama ni kichwa cha familly iwe itakavyokuwa mwanamme ni mwanamme tuu ,,,we umefanyiwa hivyo kwani???
ukiona hivyo tatizo sio pesa tatizo ni mwanaume hamfikishi mkewe,mpe mkeo haki yake ya ndoa kwa uhakika hata kama ni raisi wa ulimwengu hawezi kukuletea dharau hata siku moja