hicho kijambakoti cha nini?
Hana watoto wa kumshauri avaeje?
Ila nampongeza kwa kuwa consistent na msuko wake simple, bomba, na unaovutia wa ukiri wa Rhoda!!!
View attachment 55922
Limekaa kulamba maharage ya wenzake tu.
mkuu hii ndo jf,tumo watu wa rika zote.mbona mimi siioni tatizo na vazi hili?
Hawa wadada wa siku hizi ukim'ngoa lace wigi utakimbia usahau wallet yako!
Huyu ni waziri wa habari na michezo alafu ni Dr.
Yaani waziri unavaa kitoto mpaka pindo za chupi na mahaga yanaonekana mbele ya hadhira kweli!!!
Sasa hapo vijana wetu wanajifunza nini na tunapata tafsiri gani hapo? Jamani nimesikitishwa sana na vazi la waziri na ameniharibia siku yangu waziri anapaswa kuwa kioo cha jamii mambo ya fashion, kuuza sura hayatakiwi kwa kioongozi wa serikali mzito kama wewe uliye pewa dhamana na rais.