vazi la taifa lipo, sio sindano iliyopotea hadi ruge ashiriki kulitafuta

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,491
54,884
vazi la taifa ndo haya haya mavazi tunayo yavaa. sio kusema eti hatuna mavazi hadi kamati iundwe kutafuta vazi la taifa kama tuna tafuta vazi la chama fulani au vazi la kundi fulani la watu. hilo vazi mtalitengenezea wapi? China?. tungeanza na kamati ya kutafuta kwanini ahadi za kikwete hazitekelezeki halafu ndo ikaja kamati ya kwanini watanzania ni maskini. mavazi hayana tija kwa wananchi wanao vaa vitambala. mumeshindwa kujitambua watawatambuaje kwa mavazi? nakutakien x-mas njema. Mia
 
vazi la taifa ndo haya haya mavazi tunayo yavaa. sio kusema eti hatuna mavazi hadi kamati iundwe kutafuta vazi la taifa kama tuna tafuta vazi la chama fulani au vazi la kundi fulani la watu. hilo vazi mtalitengenezea wapi? China?. tungeanza na kamati ya kutafuta kwanini ahadi za kikwete hazitekelezeki halafu ndo ikaja kamati ya kwanini watanzania ni maskini. mavazi hayana tija kwa wananchi wanao vaa vitambala. mumeshindwa kujitambua watawatambuaje kwa mavazi? nakutakien x-mas njema. Mia
No more comment
 
Akina ruge na joe katika shughuli zao za kila cku sijawahi ona wakipiga hata nyimbo za kuuenzi utanzania zaidi ya mijinyimbo za wasanii wao feki. Wao kazi kubwa ni kushabikia, kukumbatia na kuukuza uzungu cheki hata nyimbo zipigwazo ktk station yao, halafu uniambie ndo waongoze kamati ya kutafuta utanzania (mavazi point of view) hell no hiki ni kituko na waziri uteuzi wake kafanya kiupendeleo cjui kwa sababu ya ukaribu walionayo na bwana joe! Kamati hiyo ut's a joke mtaniambia kitakachotokea huko
 
Akina ruge na joe katika shughuli zao za kila cku sijawahi ona wakipiga hata nyimbo za kuuenzi utanzania zaidi ya mijinyimbo za wasanii wao feki. Wao kazi kubwa ni kushabikia, kukumbatia na kuukuza uzungu cheki hata nyimbo zipigwazo ktk station yao, halafu uniambie ndo waongoze kamati ya kutafuta utanzania (mavazi point of view) hell no hiki ni kituko na waziri uteuzi wake kafanya kiupendeleo


hii kamati imepewa ulaji tu. Tanzania hatuna watalaam wa mavazi? hii kashfa.mia
 
Back
Top Bottom