ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 8,571
- 7,218
Siku mwanao, wa kiume akiwaaa shoga uje utoe tena comment ya ovyooo kama hiiJaman eeh hii ni haki yao kama wanaona inafaa, hakuna shida ya kuwaingilia
Mbona hampigi kelele jinsi waarabu wanavyowatreat wanawake?
Mbona hampigi kelele zile inchi ambazo mwanamke hatakiwi hata kuonesha vidole vyake, wala kuendesha Gari, wala kwenda uwanjan?
Kama Kuna inchi imeamua hayo ni maisha yao na maamuzi yao
Ww mtu uko tandahimba huko unakuja kuleta kelele nyingiiiiiiiiiiiiiiii utadhan ww mwenyewe Unaweza kujiamulia maisha yako