SirChief
JF-Expert Member
- Jun 23, 2014
- 3,304
- 3,367
Mkuu mimi na wewe tunachukia ushoga kwa sababu we are real men na kile kitendo ni kiovu sana.Ila linapokuja suala la kanisa as institution priority sio ku spread hate kwa binadamu,wanaonyesh kwamba love must lead ili watu wasichukiane.Ila msimamo wa kanisa utabaki pale pale kwenye vitu viwili vikuu..1.Ndoa ni kati ya mwanaume na mwanamke tu 2.Utoaji mimba ni mauaji na ni dhambi..... thanks kwa ufafanuzi Mkuu. Ingekuwa vizuri zaidi kama angeanza kulaani ushoga na wanaoupigia chapuo; angetamka kwa maneno makali kabisa kwamba ushoga ni dhambi (maana ndio jukumu lake la msingi aliloitiwa); kwamba wanadamu waache njia zao mbaya (dhambi), wamfuate Yesu Kristo aliyewanunua kwa gharama kubwa. Badala ya kutekeleza jukumu lake hili, akaamua kuyapa kipaumbele yasiyo muhimu katika majukumu yake ya msingi - kuomba familia zisiwatenge mashoga!