Mtukutu wa Nyaigela
JF-Expert Member
- Sep 4, 2018
- 6,515
- 11,034
Mungu tusaidie tueleweshane kwa upendo -Amina
Mungu kasema muitawaleDunia hii Kuna wahuni wameiweka mifukoni kinyume kabisa na Neno halisi na Matakwa ya Baba wa Mbinguni.
Kibaya zaidi ni kwamba wengi hatuujui ukweli na hatuko tayari kujifunza na kuchukua hatua. Ee Mungu wangu nifunulie niijue kweli yako, unisamehe dhambi zangu na unipe Mwisho mwema hapa duniani.
WeweeeeUsiwaze
UlinitishaaaaUlimaliza+
Wewe ni muongo sana, Jesuits imeundea na Ignatius luyola miaka ya 1400++ Mud alikuweko miaka ya 600 unapotosha wqtu hivihiviIn summary form. Wakatoliki walitaka kila mtu aamini ukatoliki namna pekee ilikuwa kwa upanga wa moto. Lakini jesuit waliona kuwa kama katoliki ingeshiriki katika hili baadaye ingekuja kuwa critized. So what, they decided to create part B church (Islam) to accomplish the mission and MUD the jesuit was given the task before he bertrayed and started claiming he received from God. Na kwa kuwa ndicho alichowaaminisha wafuasi wake alikuwa na ukweli wake. But wataalamu wa theology wanasema at end MUD was on his movement back to his origin. UNAAMBIWA.
hilo nipe mudaEmbu jiulize kwanini wana tumia msalaba kama nembo yao? Ni jambo la kushangaza, na ni ukweli usioweza kuulizwa, kwamba kabla ya kuzaliwa kwa Kristo, na tena hata katika sehemu ambazo hazijawahi kuguswa na mafundisho ya kanisa, alama ya msalaba ilikuwa inatumika kama ni alama takatifu kwa miungu mitatu ya kipagani. Iweje hivi leo iwe nembo kuu ya ukristo?