VAT kwenye Utalii, ni ushahidi tosha Serikali yetu iko sawa kwenye kila kitu!

Nenda kaangalie data za Uhamiaji kwenye malipo ya visa au idadi ya watalii waliotembelea Tanzania mwaka huu afu linganisha na kabla ya kuweka vat afu ukileta majibu tutaanza mjadala
 
Unapokuja na uzi wa namna hii u should be very precise kwenye data na figures za suala husika.

Lazima useme before VAT watalii walikuwa wanakuja wangapi na after VAT watalii wameingia wangapi(with figures)

Lazima utueleZe ajira kwenye haya mahoteli kabla ya vat ilikuwaje na baada ya vat ikoje with figures.

Sio tu unakuja plain-plain na kiujumla jumla hapa unatafuta support...

No.. speak with supporting evidence.. Weka vielelezo hapa.
Mkuu,huwa napata shida sana kuona mtu kama huyu & co. wakina Lizaboni wanaanzisha/wanachangia uzi wa kitaalamu wakati wao hawana chochote cha maana cha kusupport kile wanachokitetea. Tatizo la kukosa elimu,weledi na busara. Nawasihi hawa jamaa wabaki kwenye propaganda tu za Lumumba where they fit best,kwani huko hutakiwi kutumia kichwa,ila huku kwenye taaluma za watu,wawe watazamaji tu.
This goes to the opposition side too.
 
Nenda kaangalie data za Uhamiaji kwenye malipo ya visa au idadi ya watalii waliotembelea Tanzania mwaka huu afu linganisha na kabla ya kuweka vat afu ukileta majibu tutaanza mjadala


Sina haja ya kwenda huko, nitajie Hoteli moja ya Kitalii iliyofungwa kwa kukosa Watalii, hilo ndiyo muhimu kwangu mambo ya viza hayanihusu, isitoshe wanaopata viza siyo wote wanakuja kama Watalii, kuna wanaokuja kikazi, kielimu, n.k. hivyo kwangu ni kile kinachoonekana, nitajie hoteli xyz imefungwa kwa kukosa Watalii!
 
Sina haja ya kwenda huko, nitajie Hoteli moja ya Kitalii iliyofungwa kwa kukosa Watalii, hilo ndiyo muhimu kwangu mambo ya viza hayanihusu, isitoshe wanaopata viza siyo wote wanakuja kama Watalii, kuna wanaokuja kikazi, kielimu, n.k. hivyo kwangu ni kile kinachoonekana, nitajie hoteli xyz imefungwa kwa kukosa Watalii!
Kufungwa kwa hoteli sio kiashiria pekee cha kuonesha mtikisiko. Hoteli hizo zinapungukiwa mapato, zinapunguza wafanyakazi na kadhalika.
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Kufungwa kwa hoteli sio kiashiria pekee cha kuonesha mtikisiko. Hoteli hizo zinapungukiwa mapato, zinapunguza wafanyakazi na kadhalika.


Hata hilo la kupunguza Wafanyakazi sijalisikia, kama ingetokea ni lazima ingekuwa hot issue hapa na kwingineko!
 
Sina datas zozote datas zangu pekee ni situation on the ground ambapo mpka sasa hivi hakuna Hotlei ya Kitalii iliyofungwa kwa kukosa Watalii wala watu wengi kupoteza kazi kwa mpigo kwenye sekta ya Utalii si Zanzibar wala Bara na hizo ndiyo datas zangu pekee!

Mungu awasaidie wanangu wasiwe na akili za ajabu ajabu kama hizi
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Mimi binafsi naishi sehemu flan huku inaitwa Lamadi Busega Mkoa wa Simiyu hapa nilipo tumepakana na hifadhi ya taifa ya Serengeti,hivyo hapa kuna hoteli za kitalii kama 5 hivi Moja inaitwa Serengeti stop over,nyingine Ndabaka Lodge, nyingine Speak bay hotel,kuna Serenet hotel na Kijereshi tented camp hotel,hali ni mbaya sana mtoa post usikurupuke baadhi ya wafanyazi wengi ni marafiki zangu wengine wanafamilia zao hapa Lamadi tunao kila siku hata Jana nilikuwa na rafiki yangu anaitwa Bundala John anasema wageni wamepungua sana ni hatari,hata Mimi mwenyewe nalishuhudia hili mwaka juzi na miaka iliyopita hali ilikuwa nzuri kulikuwa na magari mengi sana ya Tours siku hizi naona ni moja moja tu.hata mie nina marafiki zangu wawili mmoja yupo Leorpad tours,na mwngine Simba safaris zote za Arusha ukiwapigia uwaulize mbona hawaji wanalalamika hakuna wageni siku hizi wageni ni wachache na wanalalamikia Serikali kuongeza kodi ndio kume cost haya
 
Enhe Barabarosa, tume statistics za Tourism

--JE idadi ya watalii imeongezeka?

Je Mapato ya Serikali yameongezeka au budget imedunda?

Ajira katika utalii zimeongezeka, kuna ajira mpya?

naomba uwasiliane na TTB halafu uje na statistics ili Watanzania uliowaambia kuwa ni sawa wakuamini

Waziri hata danganywa tena na Wakenya mwaka huu?
 
Unapokuja na uzi wa namna hii u should be very precise kwenye data na figures za suala husika.

Lazima useme before VAT watalii walikuwa wanakuja wangapi na after VAT watalii wameingia wangapi(with figures)

Lazima utueleZe ajira kwenye haya mahoteli kabla ya vat ilikuwaje na baada ya vat ikoje with figures.

Sio tu unakuja plain-plain na kiujumla jumla hapa unatafuta support...

No.. speak with supporting evidence.. Weka vielelezo hapa.

Nenda kwenye website ya BOT kuna taarifa za mwezi na mwaka. Angalia mchango wa sekta ya utalii kwenye pato la taifa. Ukimaliza pata kikombe cha chai kuchangamsha akili. Watu wanaangalia Macro hawaangalii Micro level. Huko kwenye micro ni wewe unatakiwa kuhangaika. Kwa taarifa yako Tanzania ni ya pili Afrika kwa kupata wageni wanaoishia Tanzania. Tumewapita Kenya na Kenya Airways yao. Tunatakiwa tufikiri kijasia mali zaidi
 
Enhe Barabarosa, tume statistics za Tourism

--JE idadi ya watalii imeongezeka?

Je Mapato ya Serikali yameongezeka au budget imedunda?

Ajira katika utalii zimeongezeka, kuna ajira mpya?

naomba uwasiliane na TTB halafu uje na statistics ili Watanzania uliowaambia kuwa ni sawa wakuamini

Waziri hata danganywa tena na Wakenya mwaka huu?
United Republic of Tanzania Travel & Tourism Total Contribution to GDP Total Contribution to GDP - % share, 1988-2015 - knoema.com
 
Na wala hakuna anaepinga wazo lako laaa ila watu wanataka details zilizoshiba sio hizo za juu juu za bila research
 
Soma vizuri nilichoandika kama ukipenda, nimewauliza wale waliokuwa wanapinga, mbona sijasikia chochote kwamba Utalii umeathirika na Watanzania wamepoteza ajira kwenye sekta ya Utalii kwa sababu ya 20% VAT?
Sisi hatutaki kujua ulichoandika laa tunataka report na iliyoshiba
 
Back
Top Bottom