ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,661
Japo ni tuzo za Tz ilikuwa haina baja ya kusemea hili maana tulilitegemea lakini ukweli lazima uwekwe wazi.
Lady Jay De hakustahili kuchukua tuzo aliyochukua jana labda jana ilikuwa ni kwa ajili ya wakongwe tuu lakini nafikiri hata tukifuatilia upigaji kura utaona Vanessa Mdee alikuwa anakura nyingi tuu.
Tukiachana na kura kwa sasa na kwa miaka 2 nyuma wakati lady Jay De alikuwa nje ya nchi Vanessa Mdee ndo amekuwa mtu anae iwakilisha vyema Tanzania nje ya nchi kwa upande wa kike hadi kuwa nominated Mara mbili Tuzo za Mtv ameshajijengea mashabaki ndani na nje ya nchi lakini mwisho wa siku anakosa tuzo kisa figisu figisu.
Tunaweza kugues why Vanessa Mdee kakosa tuzo lakini sio mahala pake hapa japo waliotoa tuzo wanajua ukweli walioona mchakato wa hizi tuzo waliamua kukaa mbali.
Lakini kiukweliii Vanessa Mdee alistahili hii tuzo bila ubishi hata iwe kwa mchakato wa kura bado Vanessa ana fan base kubwa kuliko huyo.
Haya ndo yanayofanya watu kususia hizo tuzo ila kwangu mimi kwa mwaka huu Vanessa Mdee ndo the best.
Lady Jay De hakustahili kuchukua tuzo aliyochukua jana labda jana ilikuwa ni kwa ajili ya wakongwe tuu lakini nafikiri hata tukifuatilia upigaji kura utaona Vanessa Mdee alikuwa anakura nyingi tuu.
Tukiachana na kura kwa sasa na kwa miaka 2 nyuma wakati lady Jay De alikuwa nje ya nchi Vanessa Mdee ndo amekuwa mtu anae iwakilisha vyema Tanzania nje ya nchi kwa upande wa kike hadi kuwa nominated Mara mbili Tuzo za Mtv ameshajijengea mashabaki ndani na nje ya nchi lakini mwisho wa siku anakosa tuzo kisa figisu figisu.
Tunaweza kugues why Vanessa Mdee kakosa tuzo lakini sio mahala pake hapa japo waliotoa tuzo wanajua ukweli walioona mchakato wa hizi tuzo waliamua kukaa mbali.
Lakini kiukweliii Vanessa Mdee alistahili hii tuzo bila ubishi hata iwe kwa mchakato wa kura bado Vanessa ana fan base kubwa kuliko huyo.
Haya ndo yanayofanya watu kususia hizo tuzo ila kwangu mimi kwa mwaka huu Vanessa Mdee ndo the best.