maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,774
- 2,297
wadau kwa masikitiko makubwa nasema value retension ya 6% ya kila salio baada ya makato ni shida kubwa sana
kwanza wanufaika walilazimishwa kulipa asilimia kumi na tano wakakubali bado haitoshi wamewekewa 6% kila baada ya mwaka wa fedha kweli haki iko wapi.
watu wa sheria wanajua makubaliano ya mwaka jana wakati sheria haijabalika yatabaki yale yale hayataingiliwa lakini awamu hii wakavunja makubaliano hayo na kulazimisha watu wote walipe fifteen percent.
serikali hii inajinasibu serikali ya wanyonge wanyonge gani inawajali?
je msalaba huu kuwatwisha watoto wa maskini na kuwapaka kwa mgongo wa chupa eti serikali ya wanyonge ni sentensi nzuri kweli?
Ebu tujadiliane haya tunapoelekea serikali ya chama kimoja ccm hapo octoba itatokea nini.
kwanza wanufaika walilazimishwa kulipa asilimia kumi na tano wakakubali bado haitoshi wamewekewa 6% kila baada ya mwaka wa fedha kweli haki iko wapi.
watu wa sheria wanajua makubaliano ya mwaka jana wakati sheria haijabalika yatabaki yale yale hayataingiliwa lakini awamu hii wakavunja makubaliano hayo na kulazimisha watu wote walipe fifteen percent.
serikali hii inajinasibu serikali ya wanyonge wanyonge gani inawajali?
je msalaba huu kuwatwisha watoto wa maskini na kuwapaka kwa mgongo wa chupa eti serikali ya wanyonge ni sentensi nzuri kweli?
Ebu tujadiliane haya tunapoelekea serikali ya chama kimoja ccm hapo octoba itatokea nini.