Value Renention Fees ni wizi wa dhahiri wa Bodi ya Mikopo

Man Ngosha

JF-Expert Member
May 2, 2012
219
69
Habari ya asubuhi wadau,

Kwa wale walionufaika na mikopo ya elimu ya juu, kuna wito umetolewa wa wanufaika kujitokeza ili kuanza kulipa mikopo yako. Kuna suala la Value retention fee ya 6% kwa mwaka tangu mwaka mkopo ulipotolewa hadi sasa na kuendelea hadi marejesho yatakapokamilika.

Naomba tujulishane kwa wanaojua chimbuko la hii retention fee na sheria gani inayozungumzia hii kitu maana wakati tunaomba mikopo hapakuwa na taarifa ya suala hili.

Naomba kuwasilisha.
 
Hivi inakuaje sheria kutumika bila kuanishwa kwenye mikataba? mikataba na board ya elimu haikuwai kuanisha namna ya ulipaji wala kiasi cha mkopo zaidi ya kuonesha taarifa za mwombaji na mdhamini. Hii kisheria ikoje wenye kujua watusaidie.
 
Habari ya asubuhi wadau,
Kwa wale walionufaika na mikopo ya elimu ya juu, kuna wito umetolewa wa wanufaika kujitokeza ili kuanza kulipa mikopo yako. Kuna suala la Value retention fee ya 6% kwa mwaka tangu mwaka mkopo ulipotolewa hadi sasa na kuendelea hadi marejesho yatakapokamilika.
Naomba tujulishane kwa wanaojua chimbuko la hii retention fee na sheria gani inayozungumzia hii kitu maana wakati tunaomba mikopo hapakuwa na taarifa ya suala hili.
Naomba kuwasilisha.
Wakati namaliza chuo nilipewa deni langu lilikuwa milioni 23 mwaka 2014,barua niliyopewa ya kutaarifiwa kuanza kukatwa nimekuta imeongezeka hadi milion 27.6........nadhani hiyo retention fee ndo imefanya deni limekuwa kubwa hivyo....
 
Wakati namaliza chuo nilipewa deni langu lilikuwa milioni 23 mwaka 2014,barua niliyopewa ya kutaarifiwa kuanza kukatwa nimekuta imeongezeka hadi milion 27.6........nadhani hiyo retention fee ndo imefanya deni limekuwa kubwa hivyo....
Na tena ukianza kurejesha, hiyo value retention fee itaendelea kuwepo but at a reducing rate
 
Hivi inakuaje sheria kutumika bila kuanishwa kwenye mikataba? mikataba na board ya elimu haikuwai kuanisha namna ya ulipaji wala kiasi cha mkopo zaidi ya kuonesha taarifa za mwombaji na mdhamini. Hii kisheria ikoje wenye kujua watusaidie.
Pia haikuwai kuanisha usilipe
 
Hivi inakuaje sheria kutumika bila kuanishwa kwenye mikataba? mikataba na board ya elimu haikuwai kuanisha namna ya ulipaji wala kiasi cha mkopo zaidi ya kuonesha taarifa za mwombaji na mdhamini. Hii kisheria ikoje wenye kujua watusaidie.


Hiyo value retention fee iko kabisa kwenye makubaliano ya mkopo ambayo ulisaini kisha kuyatuma loan board via EMS kwaajili ya kujadili maombi yako. Mie nilitoa copy ya mkataba wenyewe nkabaki nao sikuona hicho kipengele lakini siku niliposikia hilo jambo niliamua kuurejea mkataba kwa kusoma all its content nkakuta hicho kipengele. That is a contract in a standard form you can either reject it or take it. Haukupi nafasi ya kunegotiate. Nadhani mtoa mada hukuupitia mkataba wakati wa kuutuma kama mie, thats why you seem to be surprised.
Hivi inakuaje sheria kutumika bila kuanishwa kwenye mikataba? mikataba na board ya elimu haikuwai kuanisha namna ya ulipaji wala kiasi cha mkopo zaidi ya kuonesha taarifa za mwombaji na mdhamini. Hii kisheria ikoje wenye kujua watusaidie.
 
Hivi inakuaje sheria kutumika bila kuanishwa kwenye mikataba? mikataba na board ya elimu haikuwai kuanisha namna ya ulipaji wala kiasi cha mkopo zaidi ya kuonesha taarifa za mwombaji na mdhamini. Hii kisheria ikoje wenye kujua watusaidie.
nishidaaaa na unapo lipia mkopo huu ambao unasaidia wengi ni asilimia ngapi wanakata .
 
Back
Top Bottom