inauma, mie hadi nimesha miss neno "shikamoo mama"pole sana mpendwa kupoteza mama inauma sana najua.
inauma, mie hadi nimesha miss neno "shikamoo mama"pole sana mpendwa kupoteza mama inauma sana najua.
Hahaha bonge la techniqueKuna ujanja hapa.
Kuna vibinti havielewi hali ya maisha ikoje, atataka zawadi mara mtoke siku hiyo. Dawa ni moja.
Tarehe 10, ikifika saa moja usiku aga unalala unajisikia vibaya.
Tarehe 11, onyesha hauna credit huku unabembeleza ugonjwa.
Tarehe 12, sema umeenda hospitali kupimwa majibu utayapata kesho. sema umeenda ya serikali.
Tarehe 13, sema umeenda daktari umemkosa. Rudi asubuhi sema umefikia kwa rafiki yako huna nguvu za kukaa home peke yako.
Tarehe 14, upo hoi kitandani.
Mpaka tarehe 16.
Hii ni kwa wenye wapenzi wengi kama una mpenzi mmoja achana na hii.
Lazima aliwe mtu valentine day. Utake usitakeNi upuuzi / upupu wa Kiwango cha juu na cha Kimataifa kudhani kwamba Sherehe za Valentine zinamaanisha tu Mahusiano ya Kimapenzi ( Kungonoka / Kubaiolojika ) tu. Sijui kwanini Waafrika tuna uwezo mdogo wa Kufikiri hivi na tuna mambo ya hovyo hovyo.
Haha valentine alafu unakula kitabu. Safi ndo ukome. Ulipata nafasi ya kufeli ukajitia kiherehere kufaulu sasa shughuli yake utaipata.siku hio nitakuwa Nipo na vitini plus PDF zakutosha nikijiandaa kwa test one siku ya tare 15
Umetushtukia?mmmmh!!!!!
mambo ni motoooo, waache kufananisha soka na mambo ya kipuuziGame ya psg vs madrid
Chelsea vs barcelona
Valentine sijui itanisamehe me mpira tu
ExactlyYaani analamba chumvi chumvi za bahari ya papuchi au
Mkuu umeniacha hoi yaani sahivi nampango nikimaliza chuo nirudi shamba tu maana baba yenu magu naona hata Hana mpango wa kuajiriHaha valentine alafu unakula kitabu. Safi ndo ukome. Ulipata nafasi ya kufeli ukajitia kiherehere kufaulu sasa shughuli yake utaipata.
Wakati wenzio tunagegeda we unasoma haha
sasa Sina chakufanya maana home wote wana degree na mm ndo nilipambana kutunza heshima ya nyumbani ila naona magu kashanikatisha tamaaEndelea kupoteza mda shulen na wakati ajira zenyewe hakuna. Na kwenda kufanya kazi nje mpaka miektronika