alubati
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 5,671
- 12,096
Kila jambo na wakati wake hahaha,niko na 35 years, two kids,nianze na manguo mekundu ,kweli?!! Big noo.majukumu yametamalaki now.Si hata mm nimeshangaaa yani mtaani kimyaa huku changanyikeni kimyaa naona tunaanza kujali wapendwa wet wa karibu kuliko kujionyesha njiani na manguo mekundu
Sent using Jamii Forums mobile app