Kichaka12
JF-Expert Member
- Dec 11, 2018
- 296
- 259
HABARI ZENU WAKUU..............
Najua wazi wapo wakuu wengi ambao wanasubiri mkeka wa TAMISEMI. Lakini ni wazi kuwa kuna wale ambao tayari wapo kwenye private sectors wanafanya kazi huko lakini post zikitoka wataacha na kuelekea kwenye nafasi za serekali.
Kwa hiyo naomba watu watumie thread hii kujulishana vacant zote zitakazotokea baada ya wao kuacha kazi hizo ili wale ambao ni jobless au (wanaofanya kazi kwenye mazingira magumu au wasiyoyapenda) waweze kutumia nafasi hiyo kuomba nafasi hizo.....
nashauri mtu aweke sehemu aliyoacha kazi na masomo anayofundisha ili kuwarahisishia wengine kuomba nafasi hizo....
natumaini walimu wenzangu tutafahamishana na hata wale wamiliki wa shule mbalimbali tunaomba pia waweke post za watu wanaowahitaji ili kuturahisishia wana JF wotee.........
NAOMBA KUWASILISHA
Najua wazi wapo wakuu wengi ambao wanasubiri mkeka wa TAMISEMI. Lakini ni wazi kuwa kuna wale ambao tayari wapo kwenye private sectors wanafanya kazi huko lakini post zikitoka wataacha na kuelekea kwenye nafasi za serekali.
Kwa hiyo naomba watu watumie thread hii kujulishana vacant zote zitakazotokea baada ya wao kuacha kazi hizo ili wale ambao ni jobless au (wanaofanya kazi kwenye mazingira magumu au wasiyoyapenda) waweze kutumia nafasi hiyo kuomba nafasi hizo.....
nashauri mtu aweke sehemu aliyoacha kazi na masomo anayofundisha ili kuwarahisishia wengine kuomba nafasi hizo....
natumaini walimu wenzangu tutafahamishana na hata wale wamiliki wa shule mbalimbali tunaomba pia waweke post za watu wanaowahitaji ili kuturahisishia wana JF wotee.........
NAOMBA KUWASILISHA