Mtoto wa Baba
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 3,121
- 4,017
Hahahahahaahahahah yaani suruali kama mfuko wa mashineni na mashati mapana ya mikono mirefu halafu wanachomekea upepo ukija yaan suruali na shati vyote vinapepeamtoto wa baba ww mie nacheka.had kichwa kinauma..ww wawajua aisee yaan dah..hahahahahahah..wapo wengi sana pande hizo yaan utacheka ufe....alafu trauza wanasimamisha marinda hatari tupu
Sent using Jamii Forums mobile app