Vaa ya walokole hunifurahisha sana

Kuna kitu kinaitwa haiba inajumuisha mwonekano, uongeaji wa MTU, fikra za mtu, uvaaji na yote yanayohusu mtu has a kwa nje na kidogo sana kwa ndani.
Walokole kutokana na mapokeo yao na haiba yao wengi wamejikuta wakivaa namna hiyo.
Hats ukaaji wao kanisani ni wa kipekee bila kusahau uswahili na utapeli.
Ntaongeza nyama muda c mrefu
We Sam acha uongo walokole walikutapeli nini
 
Kwakweli walokole wanaume hinifurahisha sana vaa yao.

Hupenda mashati ya kung'aa na rangi za kung'aa. Unakuta shati rangi ya zambarau au njano linang'aa na kola pana. Suruali zao nyingi huwa za kushonesha za kitambaa cha kung'aa. Zamani walikuwa wanashona suruali pana kupitiliza chini. Akivaa tai basi katakua kafupi kanene na kakung'aa vilevile.

Viatu wanapenda vyeupe, cheusi au vya rangi mbili. Kiatu kimechongoka kina rangi nyeupe na nyeusi.

Makoti wana ya aina nyingi. Kuna yale makubwa siku hizi hawavai sana, linakuwa linafika magotini. Unakuta nalo upande mmoja jekundu na ungine jeupe au jeusi. Kuna yale yanakuwa na viraka kwenye viwiko na mengine ya kawaida tu ila yanakuwa yanang'aa kama bati.
Ila jamaa huwa wacheshi sana.
Huendi mbinguni ng`ooooooo!
 
Kwakweli walokole wanaume hinifurahisha sana vaa yao.

Hupenda mashati ya kung'aa na rangi za kung'aa. Unakuta shati rangi ya zambarau au njano linang'aa na kola pana. Suruali zao nyingi huwa za kushonesha za kitambaa cha kung'aa. Zamani walikuwa wanashona suruali pana kupitiliza chini. Akivaa tai basi katakua kafupi kanene na kakung'aa vilevile.

Viatu wanapenda vyeupe, cheusi au vya rangi mbili. Kiatu kimechongoka kina rangi nyeupe na nyeusi.

Makoti wana ya aina nyingi. Kuna yale makubwa siku hizi hawavai sana, linakuwa linafika magotini. Unakuta nalo upande mmoja jekundu na ungine jeupe au jeusi. Kuna yale yanakuwa na viraka kwenye viwiko na mengine ya kawaida tu ila yanakuwa yanang'aa kama bati.
Ila jamaa huwa wacheshi sana.
Yaani kuanzia mwanzo hadi mwisho naishia kucheka tu

Sijui ni nani kawaambia wakiokoka wavae mabwanga(over size) kamwili kadogo ila nguo sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mm nimeishi nao miaka dahari unaweza jiuliza hv huyu mzima? hao bado wapo iringa na mbeya utacheka ufe..trauza ukiangalia haraka ova sketi !panaaa...alafu kitambaa kinang'aa zaman nilikua na picha kbs dah sinazo...
Iringa wanapatikana sehemu inaitwa dabaga yaan wanvaaga mashati ya purple, orange halafu ya satin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahaha
hiyo kweli.
Hata sisi wasabato nao zamani ilikuwa hivyihivo ila sio yale ya kung'aa.
Siku hizi walokole nao wakipata exposure wanavaa kawaida, mfano mmoja yuko mbezi stand asubuhi anahubiri pale Jamaa Yuko smart kavaa kawaida bila mikogo ya manguo ya kung'aang'aa na hana wasiwasi.

Labda wanakuwa bize na Yesu, ila katika Yote yale Makoti makubwa kama CYBORG au Viatu rangi mbili huwa siyakubali kabisa.
 
Iringa wanapatikana sehemu inaitwa dabaga yaan wanvaaga mashati ya purple, orange halafu ya satin

Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂mtoto wa baba ww mie nacheka.had kichwa kinauma..ww wawajua aisee yaan dah..hahahahahahah..wapo wengi sana pande hizo😂😂 yaan utacheka ufe....alafu trauza wanasimamisha marinda hatari tupu
 
Back
Top Bottom