kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,050
- 7,051
Iringa nimekaa sana kule. Nilikua Mgololo kikwanda cha karatas, hahahah. Asee suti za kule ni HAPANA. Viatu vya kufuta na mashati ya zambarau yametawala sanahàhahahahaa.. i wish siku niende iringa nilete picha zao halisia hapa..dah
Sent using Jamii Forums mobile app