mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 843
- 1,363
Jamani leo nimeingia you tube na kucheki interview ya vanessa mdee ktk channel ya dizzim online, ameongea vitu vingi na haswa nadhani ni kwasababu aliingia amelewa yani yupo high ila sijajua ni ulevi gani alitumia.
Ametbibitisha truck ya kisela ni real story na jux ndo muhusika mkubwa
Kwamba alikuwa anamchukulia poa, mezeji hajibu, akipigiwa simu anajibu mikato mikato. Jamani mtu akiwa high anaongea ukweli wote
Ametbibitisha truck ya kisela ni real story na jux ndo muhusika mkubwa
Kwamba alikuwa anamchukulia poa, mezeji hajibu, akipigiwa simu anajibu mikato mikato. Jamani mtu akiwa high anaongea ukweli wote