Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,781
- 8,616
wantokea wapi?
Safi sanaDawa yao ni maji ya moto!
Kunguni hapatani na baridiKunguni bana achana nao kunguni kama humjui atakusumbua alafu wale wadogo ndo wanang'ata kishenzi, wakiamua hulalai hulali kweli hakuna cha usafi wala uchafu kunguni wakikuamulia wanakufanyia kitu mbaya ila maeneo ya barid sijabahatika kuwakuta