Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,204
- 12,700
Kuna huu uzushi kuwa Rais wa zamani wa Malawi aliwahi kuwa Daktari wa Malkia wa Uingereza na alihasiwa ili asije tembea na Malkia na wakazaa. Eti ndiyo kisa alikufa bila mtoto.
Huu uzushi ulienezwa na nani?
Huu uzushi ulienezwa na nani?