Uzururaji na Ubangaizaji: Idlelism

wewe akili yako haina akili ni rahisi kumlaumu mtu masikini huku ukija na kuondoka kurudi huko kwenye nchi ambazo si wewe wala baba yako aliyesaidia kuzijenga (mwizi!) kama unafikiri ni rahisi hivyo si ubakie utoe suluhisho sio kuja na kuondoka na kuanza kuwahukumu watu ambao haujui wanakula nini na wanalala wapi **** wee!

Kijakazi,

Wanitukania nini wakati ni nyie wenyewe mlidai sisi wabeba maboksi hatujui reality? Nimeiona reality na reality ni kuwa Watanzania wengi ni mafisadi, wengi hawajitumi na wengi ni wavivu wa kufikiri na kufanya kazi.

Katika watu milioni 40, tunategemea kubebwa na 20% ambao ndio wanachacharika.

Hata hayo ya kudai 80% ni wakulima ni namba tuu, lakini ufanisi hakuna.
Kila mmoa ana misababu kibao eti kwa nii halimi au hana mazao ya kutosha!
 
Rev K

Hata walio maofisini tabia ni hizo hizo, unakuta nusu ya muda watu wanatumia kuchat na kuongea dili zao kwenye simu. Wengine wanaingia ofsini na kutumia facilities kwa manufaa yao, simu, fax na hata magari kibaya zaidi wengine ni kushinda JF baada ya muda ho wanaishia makwao na kesho vile vile. Wachache hufanya kazi za wengine.

Wewe unafanya nini?
 
Hivi ni Li-Ugonjwa gani hili Tanzania? nilikuwa Dar wiki kadhaa zilizopita, nimeona kila kona iwe asubuhi, mchana au jioni, watu wako kihovyohovyo, vijiwe kibao, kuzurura kila kona, watu wamejikalia, nkajiuliza, hivi wana hawana kazi?

Kama tutakaa tudai eti hatuna watu wa kufanya kazi, itakuwa ni uongo mkubwa sana.

We have a lot of free labor, pentyful, tena ni watu wenye afya na uwezo wa kufanya kazi.

Je hawa wanachangia kwa kiasi gani kuhujumu safari ya kutuletea maendeleo?

Wala msinidanganye eti kisa hakuna wa kuajiri au ajira ni haba, tukiwa na nia, tunaweza tumia hii nguvu kazi na kuondokana na Uzururaji a Ubangaizaji!

Hii picha umeweza kuiona labda kwa vile unakaa USA. Swali dogo tu mkuu, thread hii umeianzisha muda gani ambao sio wa kazi? Je unataka kushauri kuwa tutembelee JF baada ya kazi. Kama ni hivi wengi tunazurura, tujirekebishe.
 
Kaka kama wasomi wenyewe wapo street wanahustle no kazi wasiosoma je? Uganda kuna bodaboda nyingi sana za watu binafsi, mi nashauri serikali ingeanzisha mradi wa kukodi bodaboda kwa vijana wanaohitaji kama njia ya usafiri, kwani imeshindwa kutafuta vyanzo vya ajira kwa vijana, basi hata mradi wa bodaboda...
 
Hii picha umeweza kuiona labda kwa vile unakaa USA. Swali dogo tu mkuu, thread hii umeianzisha muda gani ambao sio wa kazi? Je unataka kushauri kuwa tutembelee JF baada ya kazi. Kama ni hivi wengi tunazurura, tujirekebishe.

Usiache viporo vya kazi ofisini kwa ajili ya kuingia JF. Ila badala ya kwenda kupiga majungu ofisini ingia hapa uchangie, kwani hapa kuna darasa.

Vijijini watu wananguvu na ardhi ipo nyingi unakuta kijana hana hata nusu ekali ya shamba la mahindi? anasubiri tshirt ya uchaguzi na kwenda kwenye virabu? Kuna kipindi ulikuwa unalazimishwa kila mtu lazima uwe na shamba ekali moja la mihogo, sasa hivi viongozi hawapo tena wa kuleta hii habari. Sijui kilimo kwanza inasemaje ila haina msisitizo, kwani yenyewe imejikita kwenye siasa.
 
Hii picha umeweza kuiona labda kwa vile unakaa USA. Swali dogo tu mkuu, thread hii umeianzisha muda gani ambao sio wa kazi? Je unataka kushauri kuwa tutembelee JF baada ya kazi. Kama ni hivi wengi tunazurura, tujirekebishe.

Thread hi nilianzisha siku yangu ya pili nikiwa Dar Es Salaam likizo baada ya kubeba maboksi. Nilikuwa na kipakatwa paja changu na nimelipia mtandao wangu. Hivi ninavyoandika ni alfajiri nikiwa nyumbani kwangu, si kazini wala shuleni na natumia kpmpyuta yangu!
 
Usiache viporo vya kazi ofisini kwa ajili ya kuingia JF. Ila badala ya kwenda kupiga majungu ofisini ingia hapa uchangie, kwani hapa kuna darasa.

Vijijini watu wananguvu na ardhi ipo nyingi unakuta kijana hana hata nusu ekali ya shamba la mahindi? anasubiri tshirt ya uchaguzi na kwenda kwenye virabu? Kuna kipindi ulikuwa unalazimishwa kila mtu lazima uwe na shamba ekali moja la mihogo, sasa hivi viongozi hawapo tena wa kuleta hii habari. Sijui kilimo kwanza inasemaje ila haina msisitizo, kwani yenyewe imejikita kwenye siasa.

K4Jolly,

Vijana wenye nguvu vijijini wala hawana hamu ya kuwa wakulima, wamewaachia Baba na Babu zao ndio wawe wakulima. Wao hata kuku hawana si kuwa hawana uwezo, bali ni hiari.

Ardhi iko, ukiwashauri kulima kwa kisasa ni wagumu na wabishi lakini saa hizi wanawaambia dada na mama zao chai na mkate viko wapi, kisha hao wanaingia mitaani kwenye ulabu.

Nimeyaona kwa macho yangu Dodoma, Singida, Manyara na hata Upareni!
 
Rev K

Hata walio maofisini tabia ni hizo hizo, unakuta nusu ya muda watu wanatumia kuchat na kuongea dili zao kwenye simu. Wengine wanaingia ofsini na kutumia facilities kwa manufaa yao, simu, fax na hata magari kibaya zaidi wengine ni kushinda JF baada ya muda ho wanaishia makwao na kesho vile vile. Wachache hufanya kazi za wengine.
kama wewe unavyofanya sasa hivi?
 
Hivi ni Li-Ugonjwa gani hili Tanzania? nilikuwa Dar wiki kadhaa zilizopita, nimeona kila kona iwe asubuhi, mchana au jioni, watu wako kihovyohovyo, vijiwe kibao, kuzurura kila kona, watu wamejikalia, nkajiuliza, hivi wana hawana kazi?

Kama tutakaa tudai eti hatuna watu wa kufanya kazi, itakuwa ni uongo mkubwa sana.

We have a lot of free labor, pentyful, tena ni watu wenye afya na uwezo wa kufanya kazi.

Je hawa wanachangia kwa kiasi gani kuhujumu safari ya kutuletea maendeleo?

Wala msinidanganye eti kisa hakuna wa kuajiri au ajira ni haba, tukiwa na nia, tunaweza tumia hii nguvu kazi na kuondokana na Uzururaji a Ubangaizaji!

Tusibishane sana jamani twende kwenye ukweli, Boeing waanzishe kiwanda chao cha ndege hapa tanzania labda Dar Es Salaam na Hyundai waweke shipyard yao hapa Bandarini Dar au Bagamoyo,working manual zote english halafu watafutwe wafanyakazi toka hapahapa Tanzania. Wataajiriwa watu wangapi kwenye hivyo viwanda vikubwa, tukifiria elimu yetu sana sana form six na attitude yetu ya hakuna matata? Lets be frank at least for a while!!!!!
 
Wale wanaokaa kijiweni sio kwamba wanapenda, ajira hakuna na mtu hawezi kujiari maana mtaji hana.

Vile vile elimu nayo inachangia, watoto wengi wanaonza primary si wote watakofika elimu ya juu, wengi wataishia standard 7 au form 4. Akimaliza hapo mzazi hana uwezo wa kumuendeleza angalau kumpeleka VETA akapate ujuzi. Hivyo huyu kijana aliyokosa elimu lazima akae kijiweni.
 
Boss
tuseme ule ukweli...
kuna idleness ya kutisha Bongo.Its a fact na huhitaji kuvaa spectacles kuona hili.Vijiwe ni common feature katika mitaa mingi ya mijini.

sababu, elimu ndogo na attitude yetu . Kazi ni udalali, kwenye nyumba, viwanja, mabasi, taxi, bajaj, sokoni, mipirani ( makomandoo) misheni town na matapeli wa leseni za magari, passport yaani ni ajabu tu.
 
Elimu ya ujasiriamali ni duni na bado ujamaa syndrome ambayo ilidumza ule ujasiriamali wa asili bado ipo. Kilimo ambacho ni mwajiri mkubwa hakijwakewa mazingira ya kuvutia hasa vijana ambao ndio wengi. Matokeo yake ni uzururaji na uzembe kila mahali
 
Hivi ni Li-Ugonjwa gani hili Tanzania? nilikuwa Dar wiki kadhaa zilizopita, nimeona kila kona iwe asubuhi, mchana au jioni, watu wako kihovyohovyo, vijiwe kibao, kuzurura kila kona, watu wamejikalia, nkajiuliza, hivi wana hawana kazi?

Kama tutakaa tudai eti hatuna watu wa kufanya kazi, itakuwa ni uongo mkubwa sana.

We have a lot of free labor, pentyful, tena ni watu wenye afya na uwezo wa kufanya kazi.

Je hawa wanachangia kwa kiasi gani kuhujumu safari ya kutuletea maendeleo?

Wala msinidanganye eti kisa hakuna wa kuajiri au ajira ni haba, tukiwa na nia, tunaweza tumia hii nguvu kazi na kuondokana na Uzururaji a Ubangaizaji!

mkuu ndo umeingia bongo kwa mara ya kwanza au ulikuwepo ukatoka then ukarudi? Kama ni hivyo sioni sababu ya ww kuanza kushangaa leo but just do something
 
Wale wanaokaa kijiweni sio kwamba wanapenda, ajira hakuna na mtu hawezi kujiari maana mtaji hana.

Vile vile elimu nayo inachangia, watoto wengi wanaonza primary si wote watakofika elimu ya juu, wengi wataishia standard 7 au form 4. Akimaliza hapo mzazi hana uwezo wa kumuendeleza angalau kumpeleka VETA akapate ujuzi. Hivyo huyu kijana aliyokosa elimu lazima akae kijiweni.

Mrembo,

Then tutalaumu CCM, Ukoloni na Utumwa eti havikuweka miundo bora kwa watu kujiajiri au kujituma!
 
Back
Top Bottom