Uzuri wa Mkeo.

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
Mchungaji akawaambia waumini wa-kiume kwamba kila mmoja atoe sadaka kubwa kwa kadiri ya uzuri wa sura ya mkewe.Watu wakatoa viwango tofauti tofauti,wengine laki mbili,laki tano,laki nane na hata wengine walitoa milioni na zaidi isipokuwa bwana mmoja tu.Huyu jamaa alijisachi kwa muda mrefu then akatoa sh.100 akaweka kwenye kapu la sadaka.Mchungaji alimuona,akaanza kumhoji kwa hasira;"we kwanini umetoa sh.100 tu?".Jamaa akajibu;nimetoa hii sh.100 kwa sababu sina chenji,vinginevyo ningetoa sh.50,ndugu mchungaji,ukimwona mke wangu,hata hii sh.100 utanirudishia chenji!
 
ngumu kueleweka hii, au mi ndo sielewi
Inaeleweka sana, sasa wewe mchungaji si umesema kuwa kila mmoja achangie kulingana na uzuri wa mke wangu. If the blood hopeless mchungaji alikuwa anamaanisha kile anachokisema, huyu katoa kwa kutumia criteria ya mchungaji, sasa kwa nini alalamike
 
hahaha...! mambo ya ndoa ni tight..! alivyomuoa alimuona bomba..! sasa hivi anamuona kama kopo vile...! bado nipo saaaaaaana...! nadhani huu ndio uwe motto wetu au ni aje..! i mean kwa ambao hawajaoa
 
Hii ni kama ya rafiki yangu aliyeulizwa umri unaenda mbona huowi akajibu nasubiri mwanamke aliyeachika maana mke mwema hutoka kwa bwana
 
hahahahahahahhahahaah ina maana kama ana thamani ya hyo 50 alimtolea mahali kiasi gani?
 
Its true wanawake vinyonga. Eva si mnakumbuka. Ndo maan hata Mungu hajawaweka katika priority zake Bali wanaumen ndio wanawapa priority. They are and they must remain inferior beings
 
hayo ndo madhara ya kula "beki tatu" (hause girl) ikinasa unalazimishwa kuoa!!!
 
Back
Top Bottom