MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Katika jambo ambalo limelalamikiwa sana lilikua ni suala la ukabila.
Watu wengi walikua na manung'uniko ya chini kwa chini kua kabila moja kubwa hapa nchini ndio lilikua linawaweka sana ndugu zao juu mpaka ilifikia mpwa wa mtu anafanya kazi ngazi nyeti na watu walipohoji wakaambiwa eti wana vigezo.
Hakuna suala la kusema unapendelea kanda flani kimiundombinu, sasahivi mama anaangalia ni wapi kuna tatizo au ni wapi panahitaji kutazamwa kipekee.
Utaanza kumlaumu Mama Samia kuhusu kabila utaanzia wapi? Yaani hii ni kuanzia kwenye chama hadi Serikalini.
Watu wengi walikua na manung'uniko ya chini kwa chini kua kabila moja kubwa hapa nchini ndio lilikua linawaweka sana ndugu zao juu mpaka ilifikia mpwa wa mtu anafanya kazi ngazi nyeti na watu walipohoji wakaambiwa eti wana vigezo.
Hakuna suala la kusema unapendelea kanda flani kimiundombinu, sasahivi mama anaangalia ni wapi kuna tatizo au ni wapi panahitaji kutazamwa kipekee.
Utaanza kumlaumu Mama Samia kuhusu kabila utaanzia wapi? Yaani hii ni kuanzia kwenye chama hadi Serikalini.