Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 12,511
- 17,563
Haya tumekuelewa tufanye Nairobi + metropoli + kibera slum + metro slum vs Dar as salaamHivi unatumia akili ama uji?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya tumekuelewa tufanye Nairobi + metropoli + kibera slum + metro slum vs Dar as salaamHivi unatumia akili ama uji?
Mimi nayua ile yenye nairobi imedhinda Dar ni Metroslum tuDar metropolis is smaller than Nairobi metropolis.
Sikuwahi kufahamu kuwa Nairobi ni jiji kubwa kiasi hiko nilijua kuwa Nairobi ni kamji kadogo tu ambako majengo marefu yamerundikana kumbe Nairobi inaweza kulingana na Kariakoo au zipishane kidogo kwa ukubwa wa eneo lililojengeka dah hongera sana wakenya kwa hili.
Kwaiyo umepiga chapaa ngapi hapo gorogocho slum au unapatikana Kwa slum Mpya wenyewe mnaihita motropoliBila msosi ningekuwa nimekufa kitambo
Hivi wewe tony Nairobi Unaijua kweli yaani KI cbd cha nai nikukatiza tu na mguu dakika 15 usha kimalizaKwani githeri au sukuma si msosi. Ni mawe?
Du machakora slum hii ni gani?Unachosha sana wewe jamaa, tangu lini gatuzi moja likawa ndani ya gatuzi lingine? Unajua maana ya county? Nairobi Metropolis imeingia hadi sehemu zingine za gatuzi nne za Kajiado, Machakos, Kiambu na Murang'a. We vipi unataka nikochoree kibonzo ndio uelewe?
Hapo komora akosekaniNajua huwezi kuleta gazeti zima Kwa sababu hii video hapo chini inasadifu yaliyomo
Na slum kubwa ya Dar es Salaam inchukua dakika saba ndio ndege ziweze kuipita eneo hilo kubwa.Hivi wewe tony Nairobi Unaijua kweli yaani KI cbd cha nai nikukatiza tu na mguu dakika 15 usha kimaliza
Hujawahi fika hata Dar.uwe unakaa kimyaTemeke
The first pic is a slum in Kenya and the last one is a middle income area in TzKwaiyo umepiga chapaa ngapi hapo gorogocho slum au unapatikana Kwa slum Mpya wenyewe mnaihita motropoli
Hapa naona unapigia mbuzi guitar.....Sidhani watakuelewaDah! Hata nikikuekea huzisomi. Hii hapa ni tovuti ya NaMSIP(Nairobi Metropolitan Services Improvement Project) idara ya serikali ya kuboresha huduma ndani ya Nairobi Metropolis. .go.ke ni anwani rasmi ya GoK. Kenya Year Book ni publication rasmi ya GoK ambayo huwa wanaitoa kila mwaka. Humo ndani huwa kuna taarifa na takwimu zote, za mwakani, za Kenya. Nashangaa kusikia kwamba huko Magufulistan huwa hamna kitu kama hicho.
Nina chapaa ya kutosha ya kukununua wewe.Kwaiyo umepiga chapaa ngapi hapo gorogocho slum au unapatikana Kwa slum Mpya wenyewe mnaihita motropoli
Wakenya wacheni utani na dar ....yani Nairobi cbd ukitembea dk 15 umemaliza kila kitu tena uwezi kupotea ukiwa cbd ila dar cbd kila siku wakenya wanapotea mjiniNa slum kubwa ya Dar es Salaam inchukua dakika saba ndio ndege ziweze kuipita eneo hilo kubwa.
Nina chapaa ya kutosha ya kukununua wewe.
Newyork is 783.8 square kilometers while Dar is 1590 Kilometers square.Wakenya wacheni utani na dar ....yani Nairobi cbd ukitembea dk 15 umemaliza kila kitu tena uwezi kupotea ukiwa cbd ila dar cbd kila siku wakenya wanapotea mjini
Ndio. Endelea kukaa humu utajifunza mengi.Haaaa kumbe chapaa ni hela Mimi nilikuwa nadhani ni chapafi kwaiyo chapati mnaita chapo?
mabas mazur ila hzo sticker znayafanya yaonekane kama mikocheHey young man, do you know those Nairobi buses commonly known as nganya? If you know them then here are some facts about them. They are not allowed to pass Nairobi borders crossing to other counties eti wanafanya routes za huko, why can't you then ask yourself some of these question,
Kama hazikubaliwi kufika counties zingine then why are they reaching;
1. Rongai which is in Kajiado county?
2. Why are they reaching Athi River which is in Machakos county ?
3. Why are they reaching Kitengela which is in Kajiado county?
4. Why are they reaching Githurai which is in Kiambu county
5. Why are they reaching Ruaraka in Kiambu county
6. Why are they reaching Ruai which is in Kajiado county.Here are some of the metro buses. You can see clearly zimeandikwa SUPER METRO. Each bus has its own name like ALVIN, ST MICHAEL, ST. GABRIEL ETC but all are have the common SUPER METRO name on their bodies. View attachment 1204661View attachment 1204662View attachment 1204663View attachment 1204664View attachment 1204665
Hizo siyo stickers, ni drawings.mabas mazur ila hzo sticker znayafanya yaonekane kama mikoche
Nairobi doesn't do stickers. Nairobi only do drawings.mabas mazur ila hzo sticker znayafanya yaonekane kama mikoche