Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu swali langu kwanza ndio uniulize swali lako. Je ni nini imekufanya ukaweka picha mbovu na tatanishi kama hicho ikifuatiwa na jina la kishenzi kama hicho? Ama hujui kwamba Mungu yuko na pia ampingaye Mungu pia yupo?Ndugu yangu Tony katika kuishi kwako duniani najua umewahi tenda dhambi
Je kipi kimekusukuma mpk ukatenda dhambi je ni shetani au akili yako?
Nipo wapi?Wewe haupo Kenya
Ukweli na propaganda ni vitu tofauti sana .Huyu jamaa kweli ni mtu hana elimu ni Bongolala Tz halisi kabisa.Ukweli usemwe tu
Hujui ulipo..!!Nipo wapi?
Mwenzio haamini kama ampingaye Mungu yupo, ndio maana akakuhoji, ukitenda dhambi huwa unamsingizia shetani au unajilaumu mwenyewe. Licha ya hayo, mm pia nashangazwa zaidi na yeye kuweka hilo lipicha.Jibu swali langu kwanza ndio uniulize swali lako. Je ni nini imekufanya ukaweka picha mbovu na tatanishi kama hicho ikifuatiwa na jina la kishenzi kama hicho? Ama hujui kwamba Mungu yuko na pia ampingaye Mungu pia yupo?
Yote ukiongeza na slumsSijaelewa, unamaanisha Nairobi CBD ama Nairobi yote kwa ujumla?
Ana matatizo ya akili kwani mtu wa kawaida hawezi tenda alichotenda huyo mtu. Ni jambo tatanishi na sidhani Mods wanastahili kumwacha huyo mshenzi kutisha watu humu kwa mapicha za kishenzi.Mwenzio haamini kama ampingaye Mungu yupo, ndio maana akakuhoji, ukitenda dhambi huwa unamsingizia shetani au unajilaumu mwenyewe. Licha ya hayo, mm pia nashangazwa zaidi na yeye kuweka hilo lipicha.
Wap Dar wanalima mihogo tuanzie hapo kwanzatatizo ni kuwa dar is slum kama jiji bado halijajengwa vya kutosha. sijawai sikia dar is slum metro. papo hapo ndani ya jiji la dar is slum bado utakuta misitu na mashamba kama kijijini vile. watu wanaishi kana kwamba bado wako mashambani wanalima miwa na mihogo.
Inasemekana Nairobi kwa eneo INA sq.km karibia 600 sawana jiji LA London ,ila Nairobi INA wakazi mil. 4.5.na London INA wakazi 10 milion Daressalaam INA eneo LA Mara tatu ya hiyo mini (sq
.km 1560) na INA wakazi mil. 5.5) Tafsiri yake dar imejengwa haina gorfa nyingi kama Nairobi na London. Kule wamejenga kwenda Juu na dar ni kila MTU na nyumba yake anayodhani inamtosha
Kwa maana nyingine dar haina ghorofa nyingi kama Nairobi , atakaelpinga aende google kwa facts
Jibu swali langu kwanza ndio uniulize swali lako. Je ni nini imekufanya ukaweka picha mbovu na tatanishi kama hicho ikifuatiwa na jina la kishenzi kama hicho? Ama hujui kwamba Mungu yuko na pia ampingaye Mungu pia yupo?
TemekeWap Dar wanalima mihogo tuanzie hapo kwanza
Mwenzio haamini kama ampingaye Mungu yupo, ndio maana akakuhoji, ukitenda dhambi huwa unamsingizia shetani au unajilaumu mwenyewe. Licha ya hayo, mm pia nashangazwa zaidi na yeye kuweka hilo lipicha.
Ana matatizo ya akili kwani mtu wa kawaida hawezi tenda alichotenda huyo mtu. Ni jambo tatanishi na sidhani Mods wanastahili kumwacha huyo mshenzi kutisha watu humu kwa mapicha za kishenzi.
Ukweli na propaganda ni vitu tofauti sana .Huyu jamaa kweli ni mtu hana elimu ni Bongolala Tz halisi kabisa.
You're soon surpassing Joto La Jiwe as King of Rumors.Kumbe propaganda zinauma eeh
You're soon surpassing Joto La Jiwe as King of Rumors.
We all know wenye akili fupi ni akina nani kwa hii forumjoto la jiwe huwa anaongea fact 100% sema kawakuta nyie wakenya wa jf mna akili fupi.
We all know wenye akili fupi ni akina nani kwa hii forumView attachment 1204889
Najua kichaa kiko kwa damu na kilianza right from your grand parentsNajua huwezi kuleta gazeti zima Kwa sababu hii video hapo chini inasadifu yaliyomo
Najua kichaa kiko kwa damu na kilianza right from your grand parents View attachment 1204921