Anita Baby
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 1,265
- 539
basi sioi anita... maana unajitisha sasa.... ha ha ha... mimi ntaoa mtu mwenye sura kama yako.. hakuna wa kumtaka hata akipewa na hela mwanaume anakataa....
Kwani mkuu sura ikiwa mbaya ladha ya ikulu inabadilika???? Hata vichaa wanapewa mimba na wenye akili timamu sembuse mbaya sura. Oa tu ulipe madeni.