Uzoefu wangu kuitwa na Kamati ya Bunge: Japo ameitwa kwa dharau, kwa kutishiwa pingu, lakini kiukweli CAG ameheshimiwa sana!

Wanabodi,

Japo CAG ameitwa na Spika kwa dharau kwa kutishiwa kuletwa kwa pingu, lakini nikilinganisha na mimi nilipoitwa na kamati hiyo, kiukweli kabisa CAG ameheshimiwa sana haswa kwa ile tuu kuitwa na kutajiwa tarehe ya wito.
My Story.

Tangu nilipoitwa kuhojiwa na Kamati ya Bunge kwa kosa kama la CAG la kulidhalilisha Bunge, sijawahi kuleta mrejesho wa nini kilijiri katika mahojiano hayo, na huu sio mrejesho bali ni uzoefu tuu wa kulinganisha kuitwa kwangu na kuitwa kwa CAG.
Chanzo cha Mimi Kuitwa.

Mimi niliuliza tuu humu jf kama " Jee Bunge Linajipendekeza kwa serikali?..". Gazeti lika peak na kuiifanya ni headline story ila alama ya kuuliza ikiwemo.

Mhe. Mbunge mmoja kama vile ni kilaza fulani, akaibuka na gazeti bungeni, akaisoma headline as a statement bila kuweka alama ya kuuliza.

Ndipo Spika akalipokea.

Spika na Maneno Mbofumbofu!.
Hata mimi nilipoitwa, Spika alitamka maneno fulani ya hovyo hovyo kunihusu ambayo hayahusu, ila kwa vile mimi ni nobody, maneno ya hovyo hovyo ya Spika kwa someone who is nobody, didn't matter much, lakini kumuita GAG kwa maneno ya kumtishia kwa pingu, kiukweli kabisa, it was uncalled for. Bunge letu lisikubali udhaifu binafsi wa viongozi wa Bunge kulifanya Bunge lidharauliwe. Mhe Spika nae ni binadamu tuu kama sisi na sio malaika, hivyo anaweza kukosea kubinaadamu tuu, lakini tusikubali kuutetea udhaifu binafsi wa kibinadamu kwa kuuoanisha au kuuingiza kwenye uspika wa Bunge letu tukufu.

GAG Kapewa Muda wa Kutosha, Hii ni Heshima Kubwa.
Mimi nilipoitwa na Spika, alitangaza tuu Bungeni kuwa tutaitwa, lakini hakutangaza siku. Lakini kuitwa kwa CAG, tangu ile Press Conference, Spika ameitaja tarehe 21 Jan.

Barua Rasmi ya Wito.
Mimi tangu nilipotangwa kuitwa hadi kupewa barua, kilipita kipindi kirefu, lakini CAG kaitwa kwa kupangiwa tarehe tayari na baada ya siku 3, amepelekewa barua rasmi akiwa na siku zaidi ya 10 za kujiandaa kabla hiyo tarehe ya kuhojiwa.

Mimi niliitwa Ofisi ya ndogo ya Bunge na kukabidhiwa barua ya wito saa 9:00 mchana wa leo, kuifungua barua unatakiwa uwepo viwanja vya Bunge kesho yake asubuhi. Sasa mtu unajiuliza huu wito wa saa 9:00 mchana, kutakiwa Dodoma asubuhi ya siku inayofuata kwa usafiri gani wa public transport?!, unless kila anayeitwa kuhojiwa na kamati ya Bunge ana assume perliamentarian status anakuwa na shangingi, anajaza tuu mafuta na kuelekea Dodoma.

Thanks God, sisi wengine kwetu ni Gambosh, ile kufunga tuu macho, kufungua unajikuta uko Bungeni Dodoma tayari kuhojiwa, umekujaje, umetumia usafiri gani, only God knows!.

Hivyo kuitwa kwa CAG, wengi wanaona kama ameitwa kwa kudharauliwa kwa kutishiwa asipoitika wito, atapelekwa kwa pingu, mimi naamini mtu kama mimi niliyeletewa barua leo na kutakiwa kuripoti kesho yake ningeshindwa ndio pingu zingenihusu, lakini kwa mtu kama CAG kuitwa kwa kutishiwa pingu, is not right at all.

Justification ya Wito.
Mamlaka ya Spika kumsummon mtu yoyote mbele ya kamati kwa kulidharau Bunge yako kwenye sheria na kanuni na sio kwenye katiba. Kinga ya CAG kutokuhojiwa na yeyote zaidi ya Mahakama iko kwenye katiba na kwenye sheria. Inapotokea sheria yoyote ikakinzana na Katiba, Katiba ndio supremacy na sheria inayompa mamlaka Spika kumsummon mtu yoyote ni batili.Tangu lini sheria na kanuni tuu ikaizidi katiba?.

Huku ni sawa na masikio kuzidi kichwa!. Japo Spika amemuita CAG kwa mujibu wa mamlaka yake, lakini mkisikia mambo ya mihimili kujiinua kuvuka mipaka ya mamlaka yake ndiko huku, watu wote wenye kuheshimu katiba na sheria, watamshangaa sana CAG kama ataitika wito huu kwa kuogopa tishio la pingu. Sisi ambao ni washabiki wa kuheshimiwa kwa katiba na kutekelezwa kwa sheria, taratibu na kanuni, tunapenda kuona huu mtanzuko ukimalizika kwa kufunuliwa kwa sheria batili ya mamlaka ya Spika na katiba ikiheshimiwa.

Tunasubiri kwa hamu hiyo tarehe 21, ila kwa sisi waelewa, ukiona watoto wawili wa baba mmoja, mmoja anasema ukweli wa udhaifu wa mwenzake mbele ya baba, halafu yule mwenye udhaifu badala ya kukanusha udhaifu wake ndio kwanza anamtishia mwenzake kuwa atamkomesha, na huku baba amenyamaza kimya tuu, wa kuelewa tumeelewa!.

NB. Naomba msiniulize kilichojiri kwenye mahojiano yale, nawaombeni sana mniruhusu ni reserve my comments.

Nawatakia Furahi Dei Njema.

Paskali
Hivi Paskal, kulalamika mbele ya baba na kulalamika mbele ya hadhara ya watu tena mnadani mambo yq nyumbani kwenu ni sawa sawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CAG akiitikia wito basi nchi inaelekea kubaya maana kumbe mtu yeyote anaweza kuvunja katba kwa kutumia mamlaka akiamua

Ni kweli uliyonena hilo halina Ubishi, watanzania wakiona CAG kaenda Dodoma kisa kuogopa Pingu watachukia na kumdharau sana kwani atakuwa kaharalisha uvunjaji wa katiba na sheria, ni vigumu kuwabadili wananchi watii katiba na sheria pindi Spika na CAG wanakwenda kinyume kwa kuwa mifano ya ajabu.
 
Wanabodi,

Japo CAG ameitwa na Spika kwa dharau kwa kutishiwa kuletwa kwa pingu, lakini nikilinganisha na mimi nilipoitwa na kamati hiyo, kiukweli kabisa CAG ameheshimiwa sana haswa kwa ile tuu kuitwa na kutajiwa tarehe ya wito.
My Story.

Tangu nilipoitwa kuhojiwa na Kamati ya Bunge kwa kosa kama la CAG la kulidhalilisha Bunge, sijawahi kuleta mrejesho wa nini kilijiri katika mahojiano hayo, na huu sio mrejesho bali ni uzoefu tuu wa kulinganisha kuitwa kwangu na kuitwa kwa CAG.
Chanzo cha Mimi Kuitwa.

Mimi niliuliza tuu humu jf kama " Jee Bunge Linajipendekeza kwa serikali?..". Gazeti lika peak na kuiifanya ni headline story ila alama ya kuuliza ikiwemo.

Mhe. Mbunge mmoja kama vile ni kilaza fulani, akaibuka na gazeti bungeni, akaisoma headline as a statement bila kuweka alama ya kuuliza
Mbunge kama huyu, ukiwaita baadhi ya wabunge wetu ni vilaza, utakuwa umewakosea? - JamiiForums

Ndipo Spika akalipokea.
“Naagiza hawa wote wafikishwe kwenye kamati ya maadili” –Spika Ndugai via YouTube
Spika na Maneno Ya Kujazia Jazia.
Hata mimi nilipoitwa, Spika alitamka maneno fulani ya kujazia jazia kunihusu mimi ambayo hayahusu, nilichoandika, ila kwa vile mimi ni nobody, maneno yoyote kunihusu hata Yakima ni ya hovyo, kwa someone who is nobody, its ok and I doesn’t matter much, lakini kumuita GAG kwa maneno ya kumtishia kwa pingu, kiukweli kabisa, it was uncalled for. Bunge letu lisikubali udhaifu binafsi wa viongozi wa Bunge kulifanya Bunge lidharauliwe. Mhe Spika nae ni binadamu tuu kama sisi na sio malaika, hivyo anaweza kukosea kiubinaadamu tuu, lakini tusikubali kuutetea udhaifu binafsi wa kibinadamu kwa kuuoanisha au kuuingiza kwenye uspika wa Bunge letu tukufu.

GAG Kapewa Muda wa Kutosha, Hii ni Heshima Kubwa.
Mimi nilipoitwa na Spika, alitangaza tuu Bungeni kuwa tutaitwa, lakini hakutangaza siku. Lakini kuitwa kwa CAG, tangu ile Press Conference, Spika ameitaja tarehe 21 Jan.

Barua Rasmi ya Wito.
Mimi tangu nilipotangwa kuitwa hadi kupewa barua, kilipita kipindi kirefu, lakini CAG kaitwa kwa kupangiwa tarehe tayari na baada ya siku 3, amepelekewa barua rasmi akiwa na siku zaidi ya 10 za kujiandaa kabla hiyo tarehe ya kuhojiwa.

Mimi niliitwa Ofisi ya ndogo ya Bunge na kukabidhiwa barua ya wito saa 9:00 mchana wa leo, kuifungua barua unatakiwa uwepo viwanja vya Bunge kesho yake asubuhi. Sasa mtu unajiuliza huu wito wa saa 9:00 mchana, kutakiwa Dodoma asubuhi ya siku inayofuata kwa usafiri gani wa public transport?!, unless kila anayeitwa kuhojiwa na kamati ya Bunge ana assume perliamentarian status anakuwa na shangingi, anajaza tuu mafuta na kuelekea Dodoma.

Thanks God, sisi wengine kwetu ni Gambosh, ile kufunga tuu macho, kufungua unajikuta uko Bungeni Dodoma tayari kuhojiwa, umekujaje, umetumia usafiri gani, only God knows!, ila cha muhimu nilifika na nilihojiwa

Pascal Mayalla ahojiwa na kamati ya Bunge - JamiiForums

Hivyo kuitwa kwa CAG, wengi wanaona kama ameitwa kwa kudharauliwa kwa kutishiwa asipoitika wito, atapelekwa kwa pingu, mimi naamini mtu kama mimi niliyeletewa barua leo na kutakiwa kuripoti kesho yake ningeshindwa ndio pingu zingenihusu, lakini kwa mtu kama CAG kuitwa kwa kutishiwa pingu, is not right at all.

Justification ya Wito.
Mamlaka ya Spika kumsummon mtu yoyote mbele ya kamati kwa kulidharau Bunge yako kwenye sheria na kanuni na sio kwenye katiba. Kinga ya CAG kutokuhojiwa na yeyote zaidi ya Mahakama iko kwenye katiba na kwenye sheria. Inapotokea sheria yoyote ikakinzana na Katiba, Katiba ndio supremacy na sheria inayompa mamlaka Spika kumsummon mtu yoyote ni batili.Tangu lini sheria na kanuni tuu ikaizidi katiba?.

Huku ni sawa na masikio kuzidi kichwa!. Japo Spika amemuita CAG kwa mujibu wa mamlaka yake, lakini mkisikia mambo ya mihimili kujiinua kuvuka mipaka ya mamlaka yake ndiko huku, watu wote wenye kuheshimu katiba na sheria, watamshangaa sana CAG kama ataitika wito huu kwa kuogopa tishio la pingu. Sisi ambao ni washabiki wa kuheshimiwa kwa katiba na kutekelezwa kwa sheria, taratibu na kanuni, tunapenda kuona huu mtanzuko ukimalizika kwa kufunuliwa kwa sheria batili ya mamlaka ya Spika na katiba ikiheshimiwa.

Tunasubiri kwa hamu hiyo tarehe 21, ila kwa sisi waelewa, ukiona watoto wawili wa baba mmoja, mmoja anasema ukweli wa udhaifu wa mwenzake mbele ya baba, halafu yule mwenye udhaifu badala ya kukanusha udhaifu wake ndio kwanza anamtishia mwenzake kuwa atamkomesha, na huku baba amenyamaza kimya tuu, wa kuelewa tumeelewa!.

NB. Naomba msiniulize kilichojiri kwenye mahojiano yale, nawaombeni sana mniruhusu ni reserve my comments.

Nawatakia Furahi Dei Njema.

Paskali

Nimeipenda hili andiko lako. Kwa mtu anayeelewa serikali hii na bunge lake hatapata shida. Ni ajabu sana kupewa appointment leo jioni halafu kesho ufike asubuhi, hii style inatumika kwenye awamu hii kukomoa hakuna lingine ila visasi visasi tu (Vendetta), Najua kabisa ungechelewa kidogo tu ungeambiwa umedharau bunge wakati ulitakiwa upewe usafiri na per Diem na pesa ya usumbufu. Huo ni udikteta na upuuzi wa bunge hasa kwenye kipindi hiki. Kumwita CAG kwa style hii haijawahi kutokea kwenye bunge lolote la Commonwealth tunaelezwa kwenye barua ya huyo Ndugai( Mpiga wenzake bakora) kwa bunge la jumuiya ya madola anasema TANZANIA NI NCHI HURU???? Kwani nchi zinazofuata sheria haziko HURU?? Ndugai anaongea asilolijua....Anatumia kivuli cha bunge kutimiza azma ya Magufuli ya kuonea wengine na kunyamazisha wengine kama vile anavyofanya Paul Kagame.(Magufuli anaiga Kagame's style)
 
Ni vizuri ukatueleze kilichotokea kwenye mahojiano hayo, unless kama sheria haziruhusu.
Wanabodi,

Japo CAG ameitwa na Spika kwa dharau kwa kutishiwa kuletwa kwa pingu, lakini nikilinganisha na mimi nilipoitwa na kamati hiyo, kiukweli kabisa CAG ameheshimiwa sana haswa kwa ile tuu kuitwa na kutajiwa tarehe ya wito.
My Story.

Tangu nilipoitwa kuhojiwa na Kamati ya Bunge kwa kosa kama la CAG la kulidhalilisha Bunge, sijawahi kuleta mrejesho wa nini kilijiri katika mahojiano hayo, na huu sio mrejesho bali ni uzoefu tuu wa kulinganisha kuitwa kwangu na kuitwa kwa CAG.
Chanzo cha Mimi Kuitwa.

Mimi niliuliza tuu humu jf kama " Jee Bunge Linajipendekeza kwa serikali?..". Gazeti lika peak na kuiifanya ni headline story ila alama ya kuuliza ikiwemo.

Mhe. Mbunge mmoja kama vile ni kilaza fulani, akaibuka na gazeti bungeni, akaisoma headline as a statement bila kuweka alama ya kuuliza
Mbunge kama huyu, ukiwaita baadhi ya wabunge wetu ni vilaza, utakuwa umewakosea? - JamiiForums

Ndipo Spika akalipokea.
“Naagiza hawa wote wafikishwe kwenye kamati ya maadili” –Spika Ndugai via YouTube
Spika na Maneno Ya Kujazia Jazia.
Hata mimi nilipoitwa, Spika alitamka maneno fulani ya kujazia jazia kunihusu mimi ambayo hayahusu, nilichoandika, ila kwa vile mimi ni nobody, maneno yoyote kunihusu hata Yakima ni ya hovyo, kwa someone who is nobody, its ok and I doesn’t matter much, lakini kumuita GAG kwa maneno ya kumtishia kwa pingu, kiukweli kabisa, it was uncalled for. Bunge letu lisikubali udhaifu binafsi wa viongozi wa Bunge kulifanya Bunge lidharauliwe. Mhe Spika nae ni binadamu tuu kama sisi na sio malaika, hivyo anaweza kukosea kiubinaadamu tuu, lakini tusikubali kuutetea udhaifu binafsi wa kibinadamu kwa kuuoanisha au kuuingiza kwenye uspika wa Bunge letu tukufu.

GAG Kapewa Muda wa Kutosha, Hii ni Heshima Kubwa.
Mimi nilipoitwa na Spika, alitangaza tuu Bungeni kuwa tutaitwa, lakini hakutangaza siku. Lakini kuitwa kwa CAG, tangu ile Press Conference, Spika ameitaja tarehe 21 Jan.

Barua Rasmi ya Wito.
Mimi tangu nilipotangwa kuitwa hadi kupewa barua, kilipita kipindi kirefu, lakini CAG kaitwa kwa kupangiwa tarehe tayari na baada ya siku 3, amepelekewa barua rasmi akiwa na siku zaidi ya 10 za kujiandaa kabla hiyo tarehe ya kuhojiwa.

Mimi niliitwa Ofisi ya ndogo ya Bunge na kukabidhiwa barua ya wito saa 9:00 mchana wa leo, kuifungua barua unatakiwa uwepo viwanja vya Bunge kesho yake asubuhi. Sasa mtu unajiuliza huu wito wa saa 9:00 mchana, kutakiwa Dodoma asubuhi ya siku inayofuata kwa usafiri gani wa public transport?!, unless kila anayeitwa kuhojiwa na kamati ya Bunge ana assume perliamentarian status anakuwa na shangingi, anajaza tuu mafuta na kuelekea Dodoma.

Thanks God, sisi wengine kwetu ni Gambosh, ile kufunga tuu macho, kufungua unajikuta uko Bungeni Dodoma tayari kuhojiwa, umekujaje, umetumia usafiri gani, only God knows!, ila cha muhimu nilifika na nilihojiwa

Pascal Mayalla ahojiwa na kamati ya Bunge - JamiiForums

Hivyo kuitwa kwa CAG, wengi wanaona kama ameitwa kwa kudharauliwa kwa kutishiwa asipoitika wito, atapelekwa kwa pingu, mimi naamini mtu kama mimi niliyeletewa barua leo na kutakiwa kuripoti kesho yake ningeshindwa ndio pingu zingenihusu, lakini kwa mtu kama CAG kuitwa kwa kutishiwa pingu, is not right at all.

Justification ya Wito.
Mamlaka ya Spika kumsummon mtu yoyote mbele ya kamati kwa kulidharau Bunge yako kwenye sheria na kanuni na sio kwenye katiba. Kinga ya CAG kutokuhojiwa na yeyote zaidi ya Mahakama iko kwenye katiba na kwenye sheria. Inapotokea sheria yoyote ikakinzana na Katiba, Katiba ndio supremacy na sheria inayompa mamlaka Spika kumsummon mtu yoyote ni batili.Tangu lini sheria na kanuni tuu ikaizidi katiba?.

Huku ni sawa na masikio kuzidi kichwa!. Japo Spika amemuita CAG kwa mujibu wa mamlaka yake, lakini mkisikia mambo ya mihimili kujiinua kuvuka mipaka ya mamlaka yake ndiko huku, watu wote wenye kuheshimu katiba na sheria, watamshangaa sana CAG kama ataitika wito huu kwa kuogopa tishio la pingu. Sisi ambao ni washabiki wa kuheshimiwa kwa katiba na kutekelezwa kwa sheria, taratibu na kanuni, tunapenda kuona huu mtanzuko ukimalizika kwa kufunuliwa kwa sheria batili ya mamlaka ya Spika na katiba ikiheshimiwa.

Tunasubiri kwa hamu hiyo tarehe 21, ila kwa sisi waelewa, ukiona watoto wawili wa baba mmoja, mmoja anasema ukweli wa udhaifu wa mwenzake mbele ya baba, halafu yule mwenye udhaifu badala ya kukanusha udhaifu wake ndio kwanza anamtishia mwenzake kuwa atamkomesha, na huku baba amenyamaza kimya tuu, wa kuelewa tumeelewa!.

NB. Naomba msiniulize kilichojiri kwenye mahojiano yale, nawaombeni sana mniruhusu ni reserve my comments.

Nawatakia Furahi Dei Njema.

Paskali


Sent using Jamii Forums mobile app
 
CAG asiende kwa sababu mbili 1. atakuwa ameharibu kisheria nafasi na uhuru wa cheo kwa miaka ijayo 2. Hakufanya kosa lolote hivyo Spika au yeyote wangetakiwa kwenda mahakamani kumshitaki na ashitakiwe na polisi na sio kwenye kwenye kamati kwa sababu za kijinga
Mie kwa uelewa wangu c.a.g.hajaitwa na spika.alie itwa ni mussa assad.hayo aliyosema assad kuwa bunge ni dhaifu,ni maoni yake binafs km assad.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
So you're talking about retirement! Wasubiri atakapo staafu maana CAG haitwi kifala hivyo,wamsubiri Assad after being retired

Sent using Jamii Forums mobile app
UNAWEZA KUMTOFAUTISHA CAG NA ASSAD.HV ASSAD AKITOA ZAWADI HATA KWENYE HARUSI, OFISI YA CAG ITAHUSISHWA??!! TUSIPOTOSHE WATU. OFISI YA CAG IKITAKA KUTIMIZA MAJUKUMU YAKE HUTIMIZA KW MAANDUSHI.NA MAONI YA CAG YAPO OFSI YA BUNGE KW MAANDISHI.KM KM KW UCHUNGUZ WAKE KM CAG AMEONA BUNGE NI DHAIFU;ANGEANDIKA NA KUWAPA OFISI YA BUNGE.(IELEWEKE KUWA SISEMI KM BUNGE NI DHAIFU AU SIYO DHAIFU) JE CAG KWENYE MAANDIKO YAKE JUU BUNGE KUNA MAHARI KAANDIKA BUNGE NI DHAIFU??!! KW SABABU KILA ANACHOANDIKA CAG NI BAADA YA UCHUNGUZ WA KITAALUMA KUFANYIKA.ÇAG AKIWA ANATIMIZA MAJUKUMU YAKE YA KIKATIBA HAKUNA MAMLAKA YOYOTE INAWEZA KUMHOJI AU KUMWITA.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi,

Japo CAG ameitwa na Spika kwa dharau kwa kutishiwa kuletwa kwa pingu, lakini nikilinganisha na mimi nilipoitwa na kamati hiyo, kiukweli kabisa CAG ameheshimiwa sana haswa kwa ile tuu kuitwa na kutajiwa tarehe ya wito.
My Story.

Tangu nilipoitwa kuhojiwa na Kamati ya Bunge kwa kosa kama la CAG la kulidhalilisha Bunge, sijawahi kuleta mrejesho wa nini kilijiri katika mahojiano hayo, na huu sio mrejesho bali ni uzoefu tuu wa kulinganisha kuitwa kwangu na kuitwa kwa CAG.
Chanzo cha Mimi Kuitwa.

Mimi niliuliza tuu humu jf kama " Jee Bunge Linajipendekeza kwa serikali?..". Gazeti lika peak na kuiifanya ni headline story ila alama ya kuuliza ikiwemo.

Mhe. Mbunge mmoja kama vile ni kilaza fulani, akaibuka na gazeti bungeni, akaisoma headline as a statement bila kuweka alama ya kuuliza
Mbunge kama huyu, ukiwaita baadhi ya wabunge wetu ni vilaza, utakuwa umewakosea? - JamiiForums

Ndipo Spika akalipokea.
“Naagiza hawa wote wafikishwe kwenye kamati ya maadili” –Spika Ndugai via YouTube
Spika na Maneno Ya Kujazia Jazia.
Hata mimi nilipoitwa, Spika alitamka maneno fulani ya kujazia jazia kunihusu mimi ambayo hayahusu, nilichoandika, ila kwa vile mimi ni nobody, maneno yoyote kunihusu hata Yakima ni ya hovyo, kwa someone who is nobody, its ok and I doesn’t matter much, lakini kumuita GAG kwa maneno ya kumtishia kwa pingu, kiukweli kabisa, it was uncalled for. Bunge letu lisikubali udhaifu binafsi wa viongozi wa Bunge kulifanya Bunge lidharauliwe. Mhe Spika nae ni binadamu tuu kama sisi na sio malaika, hivyo anaweza kukosea kiubinaadamu tuu, lakini tusikubali kuutetea udhaifu binafsi wa kibinadamu kwa kuuoanisha au kuuingiza kwenye uspika wa Bunge letu tukufu.

GAG Kapewa Muda wa Kutosha, Hii ni Heshima Kubwa.
Mimi nilipoitwa na Spika, alitangaza tuu Bungeni kuwa tutaitwa, lakini hakutangaza siku. Lakini kuitwa kwa CAG, tangu ile Press Conference, Spika ameitaja tarehe 21 Jan.

Barua Rasmi ya Wito.
Mimi tangu nilipotangwa kuitwa hadi kupewa barua, kilipita kipindi kirefu, lakini CAG kaitwa kwa kupangiwa tarehe tayari na baada ya siku 3, amepelekewa barua rasmi akiwa na siku zaidi ya 10 za kujiandaa kabla hiyo tarehe ya kuhojiwa.

Mimi niliitwa Ofisi ya ndogo ya Bunge na kukabidhiwa barua ya wito saa 9:00 mchana wa leo, kuifungua barua unatakiwa uwepo viwanja vya Bunge kesho yake asubuhi. Sasa mtu unajiuliza huu wito wa saa 9:00 mchana, kutakiwa Dodoma asubuhi ya siku inayofuata kwa usafiri gani wa public transport?!, unless kila anayeitwa kuhojiwa na kamati ya Bunge ana assume perliamentarian status anakuwa na shangingi, anajaza tuu mafuta na kuelekea Dodoma.

Thanks God, sisi wengine kwetu ni Gambosh, ile kufunga tuu macho, kufungua unajikuta uko Bungeni Dodoma tayari kuhojiwa, umekujaje, umetumia usafiri gani, only God knows!, ila cha muhimu nilifika na nilihojiwa

Pascal Mayalla ahojiwa na kamati ya Bunge - JamiiForums

Hivyo kuitwa kwa CAG, wengi wanaona kama ameitwa kwa kudharauliwa kwa kutishiwa asipoitika wito, atapelekwa kwa pingu, mimi naamini mtu kama mimi niliyeletewa barua leo na kutakiwa kuripoti kesho yake ningeshindwa ndio pingu zingenihusu, lakini kwa mtu kama CAG kuitwa kwa kutishiwa pingu, is not right at all.

Justification ya Wito.
Mamlaka ya Spika kumsummon mtu yoyote mbele ya kamati kwa kulidharau Bunge yako kwenye sheria na kanuni na sio kwenye katiba. Kinga ya CAG kutokuhojiwa na yeyote zaidi ya Mahakama iko kwenye katiba na kwenye sheria. Inapotokea sheria yoyote ikakinzana na Katiba, Katiba ndio supremacy na sheria inayompa mamlaka Spika kumsummon mtu yoyote ni batili.Tangu lini sheria na kanuni tuu ikaizidi katiba?.

Huku ni sawa na masikio kuzidi kichwa!. Japo Spika amemuita CAG kwa mujibu wa mamlaka yake, lakini mkisikia mambo ya mihimili kujiinua kuvuka mipaka ya mamlaka yake ndiko huku, watu wote wenye kuheshimu katiba na sheria, watamshangaa sana CAG kama ataitika wito huu kwa kuogopa tishio la pingu. Sisi ambao ni washabiki wa kuheshimiwa kwa katiba na kutekelezwa kwa sheria, taratibu na kanuni, tunapenda kuona huu mtanzuko ukimalizika kwa kufunuliwa kwa sheria batili ya mamlaka ya Spika na katiba ikiheshimiwa.

Tunasubiri kwa hamu hiyo tarehe 21, ila kwa sisi waelewa, ukiona watoto wawili wa baba mmoja, mmoja anasema ukweli wa udhaifu wa mwenzake mbele ya baba, halafu yule mwenye udhaifu badala ya kukanusha udhaifu wake ndio kwanza anamtishia mwenzake kuwa atamkomesha, na huku baba amenyamaza kimya tuu, wa kuelewa tumeelewa!.

NB. Naomba msiniulize kilichojiri kwenye mahojiano yale, nawaombeni sana mniruhusu ni reserve my comments.

Nawatakia Furahi Dei Njema.

Paskali

Pascal nimecheka sana -uliposema umetumia usafiri wa Gambosh ukafika-
Nice article
 
Ukiona baba yako kakalia malalamiko yako kama spika alivyokalia file la trilion 1.5 unalalamika kwenye umati hata sokoni kkoo watu wajue kero yako hakuna ubaya kulalamika mbele za umma
Siyo kweli mkuu! Kama umekulia katika mji ambao hauna maadili haya yanawezekana lakini kama umekulia kwenye mji wenye Baba na Mama wanaofahamu nini maana ya malezi hakuna kitu kama hicho kutokea. Huyu Prof wenu yeye ana beef ninafsi na JPM na zina msukumo mkubwa na mambo fulani fulani na ndiyo maana hata Zitto kalishikia kibwebwe sana. Kumbuka issue ya Dau na uunganishe dots then kichwa kitakupoa. CAG kapotoka. Hawa wazungu nyie hamuwafahamu hata robo. Paskal ataweza kuelewa nazungumza nini!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kabla ya Assad kuwa CAG aliwahi kuzungumzia udhaifu wa bunge? kama hapana , basi aliyeitwa ni CAG Prof. Mussa Assad kwa sababu moja ya majukumu yake kukumbusha umuhimu wa bunge imara katika kutekeza majukumu yake katika kuisimamia serikali. binafsi yangu , sijui ASSAD alimaanisha udhaifu upi uliomfanya aseme bunge ni dhaifu kutokana na kazi zake kama CAG na hapo ndipo tutapata kitu kinachoitwa ' weak Parliament in relation to CAG activities'. kwa hiyo ni vema akaelezea udhaifu huo pengine atasikilizwa na kufanyiwa kazi na kupata bunge imara kulingana na matarajio ya ofisi kuu ya ukaguzi na CAG
 
Kwa hiyo ni double standard za "baba". Anapenda watoto wasio na tija kwenye familia. Ukiwa na tija baba anaona unamzidi kutimiza majukumu ya familia, anakushughulikia kupia kwa ndugu zako wasio na tija yeyote kwenye familia.

Pole mkuu P.

Naam, kuna wszazi wa aina hii. Baba mmoja jirani yangu aliombwa na mototo wake mahali pa kuweka genge karibu na nyumba yao akamkatalia. Baba huyo huyo akaombwa nafasi hiyo hiyo na mpngaji kwenye nyumba yake akamkubalia! Mpangaji anayo tija kuliko mtoto wake tena anayeonyesha bidii kubwa?
 
Prof. Assad hatapungukiwa chochote kwa kuitikia wito. Sana sana hadhi yake itapanda zaidi. Sidhani hata kuna maswali ya maana watakayomuliza. Ametoa maoni yake kuhusu Bunge kama raia na kama CAG full stop. Hilo Bunge kama linao uwezo wa kumwadhibu kwa hilo well and good. Lakini nadhani kinachotafutwa hapa ni upenyo wa kutokea ili kutofanya kazi na Prof. Assad. Wakati wa mjadala wa Tegeta escrow Mzee Wassira aliwakemea wabunge waliojaribu kunenga hoja ya kuikataa taarifa ya kamati ili eti kuwatetea wenzao waliobugi. Aliwaambia kuwa taarifa ya kamati ni taarifa ya CAG na haiwezekani hata siku moja kjikataa taarifa ya CAG vingenevyo tutakuwa hatuna nchi.
 

Methinks lengo la kumuita kwa namna ile ni ili akatae kwenda na hapo itakuwa imepatikana sababu ya Bunge kuamua kutofanya kazi naye kwani kiini cha tatizo ni taarifa zake. Kwa hali ilivyo, Prof. Assad ameshakuwa kero kubwa sana kiasi kwambà haiwezekani kumruhusu kuendelea kutoa taarifa zake. It is unthinkable and unacceptable in this era.
 
143 Reactions
Reply
Back
Top Bottom