Kwa mtu mwenye hekima na busara kila binadamu anastahili kuheshimiwa bila kujali hadhi yake katika jamii. Ila kwa mpumbavu daima hujiona yeye ni bora kuliko wengine utadhani minyama yake haitarudi udongoniSasa Paskali Assad ni Profesa NA tena ni Alhaj, hii maana yake ni kwamba anakubalika kote Mbinguni na Duniani kwa viwango vya juu lazima aheshimiwe.
Wewe na Mdee na huyo aliyewaita mnakubalika hapa duniani tu tena kwa kiwango cha vidigirii tu hata udaktari wa falsafa hamna ni halali yenu kuitwa kama aitwavyo PUSI aka Nyau.
Prof alhaj Assad ni level nyingine mkuu......... Na huo ndio ukweli mchungu!