Kelevra
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 1,053
- 2,007
Mkuu...unapoambiwa kua uyaone ndiyo hayo sasa...Dunia hii unaweza wekwa kwenye kona ukakosa msaada kabisa...
Ukipata nafasi ya kusikiliza stori za wengi walio jela utajiona mwenye bahati sana dunia hii...watu wamepotezwa na life imprisonment zisizo halali ili tu wake zao waolewe huku nje....kusingekua na imani za maisha baada ya kifo watu wengi wangekua wamejiondoa duniani,hususan kwenye nchi zetu hizi ila wanaogopa tu adhabu baada ya kifo kutokana na imani zao.
Ukipata nafasi ya kusikiliza stori za wengi walio jela utajiona mwenye bahati sana dunia hii...watu wamepotezwa na life imprisonment zisizo halali ili tu wake zao waolewe huku nje....kusingekua na imani za maisha baada ya kifo watu wengi wangekua wamejiondoa duniani,hususan kwenye nchi zetu hizi ila wanaogopa tu adhabu baada ya kifo kutokana na imani zao.