Uzoefu wa Zanzibar 2020 - Tuna ya Kujifunza, yatasaidia kwa Ukombozi

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,825
35,827
Kumtemesha mtu tonge mdomoni au haki za watu anazo hodhi haijawahi kuwa bila mpambano.

Maridhiano hayawezi kutokea mitandaoni. Tunayo ya kujifunza kutokea Zanzibar walikofanikiwa kuionja tamu na chungu ya maridhiano:



Shikamoo Zanzibar. Ama kweli tuna mengi ya kujifunza kwako.

Pumzika kwa amani Maalim Seif Sherif Hamad.

Kwa hakika ulikuwa Jembe!
 
Back
Top Bottom