Uzoefu wa kusafiri na Rocket kati ya Misri na Afrika ya Kusini

Mi sijawahi sikia rocket kusafirisha watu kutoka nchi moja mpk nyingine, kwa ufahamu wangu rocket is just an engine ambayo inatumika kusaidia kusafirisha vyombo vya anga za juu, pia inaweza kuwekwa war head ambayo inabeba Mabomu ya nuclear au Atomic au silaha za maanganizi za Simu rocket ziko za masafa marefu, ya kati na mafupi! Mfano ni Raisi wa Korea Kim anavyorusha hizo rockets za majaribio. Pamoja na kutumia Newton 3rd law of motion pia Kuna physics ya trajectory au projectile motion.
 
Lakini huo moshi unaotoka (combustion) hautoki hivihivi tu, umekuwa calculated kuleta significant importance in propulsion mechanism. Mafuta yaliyoungua yakitoka, yanaipa rocket msukumo kwenda mbele (forward impulse). Hii ni kutokana na Newton's second law of motion; action and reaction are equal but opposite. Hata katika ku-shoot risasi, mpigaji hujikuta anasukumwa nyuma kutokana na reaction ya risasi inapotoka kwenye bunduki. Hivyo hata rockets zinatumia mechanisms hizo, ikisaidiwa na nguvu ya engine.
Mkuu,

Newton's 2nd law, kirahisi kabisa ni "Force=mass * acceleration".

Newton's 3rd law. "for every action, there is an equal but opposite reaction"
 
Mkuu,

Newton's 2nd law, kirahisi kabisa ni "Force=mass * acceleration".

Newton's 3rd law. "for every action, there is an equal but opposite reaction"
Ok, value the content and not the series.
 
Lakini huo moshi unaotoka (combustion) hautoki hivihivi tu, umekuwa calculated kuleta significant importance in propulsion mechanism. Mafuta yaliyoungua yakitoka, yanaipa rocket msukumo kwenda mbele (forward impulse). Hii ni kutokana na Newton's second law of motion; action and reaction are equal but opposite. Hata katika ku-shoot risasi, mpigaji hujikuta anasukumwa nyuma kutokana na reaction ya risasi inapotoka kwenye bunduki. Hivyo hata rockets zinatumia mechanisms hizo, ikisaidiwa na nguvu ya engine.
Huo moshi unaoona ni sawa na wewe unapokuwa kwenye baridi utoe hewa mdomoni utaona moshi. So ili uone huo moshi inategemea na hali ya unyevu kwenye anga na ubaridi. Ndiyo maana kuna muda utaona na kuna muda hutoona. Jet engine zinatumia action and reaction are equal but opposite in direction. Hata rocket zinatumia jet engines kuna aina nyingi za jet engines, kutegemea na technology.
Kwa hiyo huo mstari haujapimwa wala nini unatokea kutokana na hali ya hewa.
 
It looks like your interest is to memories and not to capture the reality, but the presenter of the topic understood the content.
1. "memorize" na sio "memories"
2. I did capture your so called reality, that's why I pointed it at you.

The Newton's laws will never change and you can not interchange them as you like. They come and are presented in that order because they build upon each other. You can change the wording BUT you can not/never change the Order in which they are presented.
Any way, all i did was just to jog your memory, we humans are one forgetful creatures, though it seems in the process, your scientific prowess/ego was hurt, pardon me for that mkuu.
 
Rocket ni usafiri wa anga kama ilivyo hizi ndege za kawaida na helicopter, lakini Rocket hairuki umbali mrefu sana kutoka usawa wa bahari kama ilivyo ndege ambazo hutembea juu futi hadi 36,000 na speed ya 900km/hr.

Rocket hutoa moshi mzito kutokana na aina ya engine yake ambayo hutaka kufanana na ya train ya mafuta (diesel).

Rocket huruka wima (vertically) tofauti na ndege.

Inasemekana, kwa Afrika kuna viwanja viwili tu vya rocket , cha Johannesburg Afrika ya Kusini na Cairo nchini Misri.

Sifahamu rocket hubeba mizigo au abiria !

Ni usafiri ambao ni wa hatari sana, kutokana na urukaji wake na pia ikianza kutua. Kashkash ni kubwa sana inayoambatana na moto mkali unaoiwezesha Engine kuendesha rocket.


Mwenzangu umewahi kupanda rocket ?

Binafsi nina mpango wa kupanda hii jet aisee View attachment 2074878View attachment 2074879
Huu ni uongo 116%
 
Rocket ni usafiri wa anga kama ilivyo hizi ndege za kawaida na helicopter, lakini Rocket hairuki umbali mrefu sana kutoka usawa wa bahari kama ilivyo ndege ambazo hutembea juu futi hadi 36,000 na speed ya 900km/hr.

Rocket hutoa moshi mzito kutokana na aina ya engine yake ambayo hutaka kufanana na ya train ya mafuta (diesel).

Rocket huruka wima (vertically) tofauti na ndege.

Inasemekana, kwa Afrika kuna viwanja viwili tu vya rocket , cha Johannesburg Afrika ya Kusini na Cairo nchini Misri.

Sifahamu rocket hubeba mizigo au abiria !

Ni usafiri ambao ni wa hatari sana, kutokana na urukaji wake na pia ikianza kutua. Kashkash ni kubwa sana inayoambatana na moto mkali unaoiwezesha Engine kuendesha rocket.


Mwenzangu umewahi kupanda rocket ?

Binafsi nina mpango wa kupanda hii jet aisee View attachment 2074878View attachment 2074879
Kijana umevuta majani gani?
 
Rocket inatumika kusafirisha vyombo vinavyoenda nje ya anga la dunia.
Kama satelite, telescope na space shuttle.

Hicho unachokihitaji nenda NASA watakufanyia mpango uende pluto

Kwahiyo jamaa kashatudanganya tayari
 
Ulicho sema ni stori za vijiweni zipo sana sema wewe umeleta hizi porojo 2022 ila zilikuwa zikisemwa ivo (enzi hizo)
 
Back
Top Bottom