Uzoefu wa kusafiri na Rocket kati ya Misri na Afrika ya Kusini

Hivi punde

JF-Expert Member
Apr 1, 2017
2,554
8,552
Rocket ni usafiri wa anga kama ilivyo hizi ndege za kawaida na helicopter, lakini Rocket hairuki umbali mrefu sana kutoka usawa wa bahari kama ilivyo ndege ambazo hutembea juu futi hadi 36,000 na speed ya 900km/hr.

Rocket hutoa moshi mzito kutokana na aina ya engine yake ambayo hutaka kufanana na ya train ya mafuta (diesel).

Rocket huruka wima (vertically) tofauti na ndege.

Inasemekana, kwa Afrika kuna viwanja viwili tu vya rocket , cha Johannesburg Afrika ya Kusini na Cairo nchini Misri.

Sifahamu rocket hubeba mizigo au abiria !

Ni usafiri ambao ni wa hatari sana, kutokana na urukaji wake na pia ikianza kutua. Kashkash ni kubwa sana inayoambatana na moto mkali unaoiwezesha Engine kuendesha rocket.


Mwenzangu umewahi kupanda rocket ?

Binafsi nina mpango wa kupanda hii jet aisee
images.jpg
images%20(1).jpg
 
Mkuu tangu lini ukasikia rocket inasafirisha watu toka nchi moja kwenda nyingine mkuu? Hapo umeweka picha za rocket na shuttle.

Shuttle NASA washaipiga chini iko kwenye makumbusho nayo ilikuwa haisafirishi watu from nchi moja kwenda nyingine, bali ilikuwa inapeleka mizigo, satelites na wanaanga kwenye space.

Unachoona kama.mstari ni mandege makubwa yanayotumia jet engine. Ule mosho ni difference ya joto na humidity. Yani ni sawa na wewe unavyotoa moshi mdomoni wakati wa abridi kali kama la makete.

Ulichoandika ni story za vijiweni hakuna hata ukweli wowote.
 
Mkuu tangu lini ukasikia rocket inasafirisha watu toka nchi moja kwenda nyingine mkuu? Hapo umeweka picha za rocket na shuttle. Shuttle NASA washaipiga chini iko kwenye makumbusho nayo ilikuwa haisafirishi watu from nchi moja kwenda nyingine, bali ilikuwa inapeleka mizigo, satelites na wanaanga kwenye space.
Unachoona kama.mstari ni mandege makubwa yanayotumia jet engine. Ule mosho ni difference ya joto na humidity. Yani ni sawa na wewe unavyotoa moshi mdomoni wakati wa abridi kali kama la makete.
Ulichoandika ni story za vijiweni hakuna hata ukweli wowote.
You seem to be well educated and exposed. Umeelezea kisayansi na ukweli kwenye kila kitu.

Hii ndio tunahitaji kwenye JF sasa zitaanza comment za chura, sijui mapunga wataharibu Uzi sasa hivi, Kuna kizazi fulani kimakuja Kuna wapumbavu wengi sana, hawawezi kuongea bila kuanza kutaja kufirana na mambo ya ushoga.

Yani wanaanzisha mada ndani ya mada na inapoteza kabisa lengo la thread.
 
Rocket ni usafiri wa anga kama ilivyo hizi ndege za kawaida na helicopter, lakini Rocket hairuki umbali mrefu sana kutoka usawa wa bahari kama ilivyo ndege ambazo hutembea juu futi hadi 36,000 na speed ya 900km/hr.

Rocket hutoa moshi mzito kutokana na aina ya engine yake ambayo hutaka kufanana na ya train ya mafuta (diesel).

Rocket huruka wima (vertically) tofauti na ndege.

Inasemekana, kwa Afrika kuna viwanja viwili tu vya rocket , cha Johannesburg Afrika ya Kusini na Cairo nchini Misri.

Sifahamu rocket hubeba mizigo au abiria !

Ni usafiri ambao ni wa hatari sana, kutokana na urukaji wake na pia ikianza kutua. Kashkash ni kubwa sana inayoambatana na moto mkali unaoiwezesha Engine kuendesha rocket.


Mwenzangu umewahi kupanda rocket ?

Binafsi nina mpango wa kupanda hii jet aisee View attachment 2074878View attachment 2074879
rocket zinatumiw kuweka satellite kwenye orbit sio kusafirisha abiria, na ndo maana zinaruka vertically sio horizontal kama ndege au helicopter
 
Rocket ni usafiri wa anga kama ilivyo hizi ndege za kawaida na helicopter, lakini Rocket hairuki umbali mrefu sana kutoka usawa wa bahari kama ilivyo ndege ambazo hutembea juu futi hadi 36,000 na speed ya 900km/hr.

Rocket hutoa moshi mzito kutokana na aina ya engine yake ambayo hutaka kufanana na ya train ya mafuta (diesel).

Rocket huruka wima (vertically) tofauti na ndege.

Inasemekana, kwa Afrika kuna viwanja viwili tu vya rocket , cha Johannesburg Afrika ya Kusini na Cairo nchini Misri.

Sifahamu rocket hubeba mizigo au abiria !

Ni usafiri ambao ni wa hatari sana, kutokana na urukaji wake na pia ikianza kutua. Kashkash ni kubwa sana inayoambatana na moto mkali unaoiwezesha Engine kuendesha rocket.


Mwenzangu umewahi kupanda rocket ?

Binafsi nina mpango wa kupanda hii jet aisee View attachment 2074878View attachment 2074879
Dah kmmk mkuu hii chai kiboko, mzee hata sijui unatuchukuliaje sisi
 
Rocket ni usafiri wa anga kama ilivyo hizi ndege za kawaida na helicopter, lakini Rocket hairuki umbali mrefu sana kutoka usawa wa bahari kama ilivyo ndege ambazo hutembea juu futi hadi 36,000 na speed ya 900km/hr.

Rocket hutoa moshi mzito kutokana na aina ya engine yake ambayo hutaka kufanana na ya train ya mafuta (diesel).

Rocket huruka wima (vertically) tofauti na ndege.

Inasemekana, kwa Afrika kuna viwanja viwili tu vya rocket , cha Johannesburg Afrika ya Kusini na Cairo nchini Misri.

Sifahamu rocket hubeba mizigo au abiria !

Ni usafiri ambao ni wa hatari sana, kutokana na urukaji wake na pia ikianza kutua. Kashkash ni kubwa sana inayoambatana na moto mkali unaoiwezesha Engine kuendesha rocket.


Mwenzangu umewahi kupanda rocket ?

Binafsi nina mpango wa kupanda hii jet aisee View attachment 2074878View attachment 2074879
Ndugu nakushaur pitia coments za wadau hapo juu na ukachimbe zaid.
 
rocket zinatumiw kuweka satellite kwenye orbit sio kusafirisha abiria, na ndo maana zinaruka vertically sio horizontal kama ndege au helicopter

Na pia kupelekea watu kwenye anga za mbali mfano mwezini, international space station...

Na sasa kuna makampuni ya watu wenye fuba chafu kama ile ya Jeff, ambayo inasafirisha watu kwa ajili ya utalii wa anga walau kwa dk 10 hadi 12 hapo...
 
Mkuu tangu lini ukasikia rocket inasafirisha watu toka nchi moja kwenda nyingine mkuu? Hapo umeweka picha za rocket na shuttle. Shuttle NASA washaipiga chini iko kwenye makumbusho nayo ilikuwa haisafirishi watu from nchi moja kwenda nyingine, bali ilikuwa inapeleka mizigo, satelites na wanaanga kwenye space.
Unachoona kama.mstari ni mandege makubwa yanayotumia jet engine. Ule mosho ni difference ya joto na humidity. Yani ni sawa na wewe unavyotoa moshi mdomoni wakati wa abridi kali kama la makete.
Ulichoandika ni story za vijiweni hakuna hata ukweli wowote.
Lakini huo moshi unaotoka (combustion) hautoki hivihivi tu, umekuwa calculated kuleta significant importance in propulsion mechanism. Mafuta yaliyoungua yakitoka, yanaipa rocket msukumo kwenda mbele (forward impulse). Hii ni kutokana na Newton's second law of motion; action and reaction are equal but opposite. Hata katika ku-shoot risasi, mpigaji hujikuta anasukumwa nyuma kutokana na reaction ya risasi inapotoka kwenye bunduki. Hivyo hata rockets zinatumia mechanisms hizo, ikisaidiwa na nguvu ya engine.
 
Back
Top Bottom