Uzoefu: Naishi kwa Shemeji yangu huu mwaka wa tatu

Kutokana na hali Ngumu ya maisha na tatizo la ajira vijana wengi tumeamua kurudisha mpira kwa kipa huku tukisubilia mambo yakae sawa tujipange upya na sis tufanye maisha yetu kama awali.. Wengine wamerudisha mpira kwa wazazi wao, wengine wamerudisha mpira kwa Ndugu, ila sisi Ma Pro na Ma Legendary tumerudisha mpira kwa mashemeji zetu walipo olewa dada zetu na hatujali..

Kama ilivyo kawaida kila kitu kina kanuni, sheria na taratibu zake endapo ukizifata zitakusaidia sana jins ya ku survive kipindi hichi kigumu cha mpito. Haya ni mambo muhimu sana ya kuzingatia pindi unapo rudisha mpira kwa shemeji yako.

1. Usipige Gym. Gym inamfanya mtu awe na confidence sana hivyo kupelekea kuingilia ugomvi pindi Shem wako anapo mkata dada yako makofi.. Pia Gym hufanya kiwango cha kula kuongezeka ivyo unapo kaa kwa mtu jitahidi sana uwe una kula kiasi kama wenyeji ulio wakuta..

2. Kamwe usije ingilia Ugomvi wa dada yako na shemeji yako pindi wakikusana/ kuzozana au hata kurushiana makofi.. Jitahidi sana kubaki chumbani kwako jifanye kama hujasikia kitu.. Ugomvi wa mke na mume always unakuwa ni wa muda tu lazima watapatana.. Vip kama uliingilia? Itakuwa ndio mwisho wako kukaa kwa shemeji..

3. Kin'gamuzi kikiisha either Dstv or Azam mwambie dada yako amwambie Shemeji yako / mme wake.. Hili litafanyika kwa haraka zaidi sababu Shemeji yako atajua ni kwa ajiri ya mke wake.. Wew shughulika na mambo kama Luku zikibakia unit chache mjuze shemeji yako hii itasaidia akuone active sana mfatiliaji..

4. Siku za weekend shemeji yako akiwepo jitahidi sana usishinde sebleni kwenye Tv. Hata ukiwa seblen basi jitahidi kukaa mbali na remote.. Sababu wengi huwa wanapenda weekend kuinjoi na familia zao wew pale unahesabika kama mzigo na sio part ya familia only dada yako anakuona memba wa familia..

5. Kamwe usije kuwa shabiki wa Team tofauti na anayo shabikia Shemeji yako. Hii huwa inajenga sana chuki hivyo ili uishi kwa aman kuwa team moja na shemeji yako .. Pia jitahidi sana kumsifia sifia.. Kama ana gari pia jitahidi sana kusifia gari yake ajue ndio dream car yako hata kama ni starlet or Vitz.

6. Usiwe unaleta marafiki zako nyumbani kwa shemeji yako.. Jitahidi sana wanao wote muwe mnakutana nje uko.. Sababu shemeji yako. Mashemeji zetu huwa wanaona sisi tunao kaa kwao kama tumesha feli maisha.. Ivyo huwa wana hisi hata marafiki zetu ni wale walio feli maisha wanawaona ni wezi tu.. Hivyo jitahidi sana kutopeleka marafiki kwa nyumbani kwa shemeji yako.

7. Jitahidi kila ukikaa kimaongezi na shemeji yako mwambie kuna Interview fulani nilipiga wamesema watanipigia simu ivyo nasubilia waniite.. Hii itampa moyo sana shemeji yako atajua soon ukipata kazi utaondoka kwake na ukakae kwako..


NB: Kama kijana usione aibu kurudisha mpira kwa kipa mambo yanapo kuwa magumu sababu kila mtu na maisha yake. Maneno yapo tu binadamu huwa hakosi cha kusema.. Na always mambo huwa yanabadilika hivyi ishi maisha yako.

Hii dhana ya kutuona watu tunao kaa kwa mashemeji zetu ni watu wadhaifu ife leo, Sababu baadhi yetu tumesha pitia mambo magumu na struggle za kila aina na tumesha wai shika hela ambazo wengine mbaka mnakuja kufa haiji tokea ukazishika kwa mkupuo.
Duh una moyo..
Dada angu kaolewa huko pwani.
Nikienda kumsalimia hata kulala siwezi.
Nafika asubuhi jioni nasepa.

Sina maana mbaya ila KULALA KWA SHEMEJI HAPANA SIWEZI..

#YNWA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kutokana na hali Ngumu ya maisha na tatizo la ajira vijana wengi tumeamua kurudisha mpira kwa kipa huku tukisubilia mambo yakae sawa tujipange upya na sis tufanye maisha yetu kama awali.. Wengine wamerudisha mpira kwa wazazi wao, wengine wamerudisha mpira kwa Ndugu, ila sisi Ma Pro na Ma Legendary tumerudisha mpira kwa mashemeji zetu walipo olewa dada zetu na hatujali..

Kama ilivyo kawaida kila kitu kina kanuni, sheria na taratibu zake endapo ukizifata zitakusaidia sana jins ya ku survive kipindi hichi kigumu cha mpito. Haya ni mambo muhimu sana ya kuzingatia pindi unapo rudisha mpira kwa shemeji yako.

1. Usipige Gym. Gym inamfanya mtu awe na confidence sana hivyo kupelekea kuingilia ugomvi pindi Shem wako anapo mkata dada yako makofi.. Pia Gym hufanya kiwango cha kula kuongezeka ivyo unapo kaa kwa mtu jitahidi sana uwe una kula kiasi kama wenyeji ulio wakuta..

2. Kamwe usije ingilia Ugomvi wa dada yako na shemeji yako pindi wakikusana/ kuzozana au hata kurushiana makofi.. Jitahidi sana kubaki chumbani kwako jifanye kama hujasikia kitu.. Ugomvi wa mke na mume always unakuwa ni wa muda tu lazima watapatana.. Vip kama uliingilia? Itakuwa ndio mwisho wako kukaa kwa shemeji..

3. Kin'gamuzi kikiisha either Dstv or Azam mwambie dada yako amwambie Shemeji yako / mme wake.. Hili litafanyika kwa haraka zaidi sababu Shemeji yako atajua ni kwa ajiri ya mke wake.. Wew shughulika na mambo kama Luku zikibakia unit chache mjuze shemeji yako hii itasaidia akuone active sana mfatiliaji..

4. Siku za weekend shemeji yako akiwepo jitahidi sana usishinde sebleni kwenye Tv. Hata ukiwa seblen basi jitahidi kukaa mbali na remote.. Sababu wengi huwa wanapenda weekend kuinjoi na familia zao wew pale unahesabika kama mzigo na sio part ya familia only dada yako anakuona memba wa familia..

5. Kamwe usije kuwa shabiki wa Team tofauti na anayo shabikia Shemeji yako. Hii huwa inajenga sana chuki hivyo ili uishi kwa aman kuwa team moja na shemeji yako .. Pia jitahidi sana kumsifia sifia.. Kama ana gari pia jitahidi sana kusifia gari yake ajue ndio dream car yako hata kama ni starlet or Vitz.

6. Usiwe unaleta marafiki zako nyumbani kwa shemeji yako.. Jitahidi sana wanao wote muwe mnakutana nje uko.. Sababu shemeji yako. Mashemeji zetu huwa wanaona sisi tunao kaa kwao kama tumesha feli maisha.. Ivyo huwa wana hisi hata marafiki zetu ni wale walio feli maisha wanawaona ni wezi tu.. Hivyo jitahidi sana kutopeleka marafiki kwa nyumbani kwa shemeji yako.

7. Jitahidi kila ukikaa kimaongezi na shemeji yako mwambie kuna Interview fulani nilipiga wamesema watanipigia simu ivyo nasubilia waniite.. Hii itampa moyo sana shemeji yako atajua soon ukipata kazi utaondoka kwake na ukakae kwako..


NB: Kama kijana usione aibu kurudisha mpira kwa kipa mambo yanapo kuwa magumu sababu kila mtu na maisha yake. Maneno yapo tu binadamu huwa hakosi cha kusema.. Na always mambo huwa yanabadilika hivyi ishi maisha yako.

Hii dhana ya kutuona watu tunao kaa kwa mashemeji zetu ni watu wadhaifu ife leo, Sababu baadhi yetu tumesha pitia mambo magumu na struggle za kila aina na tumesha wai shika hela ambazo wengine mbaka mnakuja kufa haiji tokea ukazishika kwa mkupuo.
nmecheka hatari
 
Kutokana na hali Ngumu ya maisha na tatizo la ajira vijana wengi tumeamua kurudisha mpira kwa kipa huku tukisubilia mambo yakae sawa tujipange upya na sis tufanye maisha yetu kama awali.. Wengine wamerudisha mpira kwa wazazi wao, wengine wamerudisha mpira kwa Ndugu, ila sisi Ma Pro na Ma Legendary tumerudisha mpira kwa mashemeji zetu walipo olewa dada zetu na hatujali..

Kama ilivyo kawaida kila kitu kina kanuni, sheria na taratibu zake endapo ukizifata zitakusaidia sana jins ya ku survive kipindi hichi kigumu cha mpito. Haya ni mambo muhimu sana ya kuzingatia pindi unapo rudisha mpira kwa shemeji yako.

1. Usipige Gym. Gym inamfanya mtu awe na confidence sana hivyo kupelekea kuingilia ugomvi pindi Shem wako anapo mkata dada yako makofi.. Pia Gym hufanya kiwango cha kula kuongezeka ivyo unapo kaa kwa mtu jitahidi sana uwe una kula kiasi kama wenyeji ulio wakuta..

2. Kamwe usije ingilia Ugomvi wa dada yako na shemeji yako pindi wakikusana/ kuzozana au hata kurushiana makofi.. Jitahidi sana kubaki chumbani kwako jifanye kama hujasikia kitu.. Ugomvi wa mke na mume always unakuwa ni wa muda tu lazima watapatana.. Vip kama uliingilia? Itakuwa ndio mwisho wako kukaa kwa shemeji..

3. Kin'gamuzi kikiisha either Dstv or Azam mwambie dada yako amwambie Shemeji yako / mme wake.. Hili litafanyika kwa haraka zaidi sababu Shemeji yako atajua ni kwa ajiri ya mke wake.. Wew shughulika na mambo kama Luku zikibakia unit chache mjuze shemeji yako hii itasaidia akuone active sana mfatiliaji..

4. Siku za weekend shemeji yako akiwepo jitahidi sana usishinde sebleni kwenye Tv. Hata ukiwa seblen basi jitahidi kukaa mbali na remote.. Sababu wengi huwa wanapenda weekend kuinjoi na familia zao wew pale unahesabika kama mzigo na sio part ya familia only dada yako anakuona memba wa familia..

5. Kamwe usije kuwa shabiki wa Team tofauti na anayo shabikia Shemeji yako. Hii huwa inajenga sana chuki hivyo ili uishi kwa aman kuwa team moja na shemeji yako .. Pia jitahidi sana kumsifia sifia.. Kama ana gari pia jitahidi sana kusifia gari yake ajue ndio dream car yako hata kama ni starlet or Vitz.

6. Usiwe unaleta marafiki zako nyumbani kwa shemeji yako.. Jitahidi sana wanao wote muwe mnakutana nje uko.. Sababu shemeji yako. Mashemeji zetu huwa wanaona sisi tunao kaa kwao kama tumesha feli maisha.. Ivyo huwa wana hisi hata marafiki zetu ni wale walio feli maisha wanawaona ni wezi tu.. Hivyo jitahidi sana kutopeleka marafiki kwa nyumbani kwa shemeji yako.

7. Jitahidi kila ukikaa kimaongezi na shemeji yako mwambie kuna Interview fulani nilipiga wamesema watanipigia simu ivyo nasubilia waniite.. Hii itampa moyo sana shemeji yako atajua soon ukipata kazi utaondoka kwake na ukakae kwako..


NB: Kama kijana usione aibu kurudisha mpira kwa kipa mambo yanapo kuwa magumu sababu kila mtu na maisha yake. Maneno yapo tu binadamu huwa hakosi cha kusema.. Na always mambo huwa yanabadilika hivyi ishi maisha yako.

Hii dhana ya kutuona watu tunao kaa kwa mashemeji zetu ni watu wadhaifu ife leo, Sababu baadhi yetu tumesha pitia mambo magumu na struggle za kila aina na tumesha wai shika hela ambazo wengine mbaka mnakuja kufa haiji tokea ukazishika kwa mkupuo.
4,&6 umenivunja mbavu balaa,miaka ya 2000,wakati nasubili kurudi chuo kupiga shahada baada ya kukaa kitaa mwaka mzima bila kuwa na ishu na ka diploma kangu,nilikaa kwa shemeji,nyumbani kwa Bro mkubwa,wa mbaaali kidogo upande wa umamani,daaa Yule wife wake(shemeji)alikuwa bonge la pisi kali(kipindi hicho)ila alifsnya maisha yangu yawe ya tabu sana,alikuwa na kejeri mbaya hatari,msosi mchana hakuna,nilisimangwa hatari,mpaka na bro akanichukia,nikatimuliwa,nikaenda kukaa zangu ghetto mpaka nilipojiunga na chuo, hiyo nyumba sikukanyaga Tena mpaka tulipokutana msibani huko kwetu Kijijini Mbeya.
 
Hahahahahaha shem ndio tegemezi nyumba zenyewe za kupanga hizi hakuna cha maana zaidi ya vitu vya ndani
Usimvue nguo shemeji yako yeye kakufunika nguo,hapa JF si pa kuanika kila kitu, hata kama kapanga na yeye anapambana kama unavyopambana upate pakutokea.
usikate tamaa jaribu hata kazi za kujishikiza hata kibarua cha kawaida kwa ajili ya mambo yako madogo madogo siyo vema kuomba kila kitu kwa shemu.
 
Sham777,
shemeji yangu alinileteaga habari hizo akawa analala sebuleni enzi hizo nina chumba na baraza tu hataki kuondoka kwa dadake,nikaanza mtindo akishalala akishazima taa tu ya sebuleni kuanza kulala nampa dada mtu mgegedo wa kukata na shoka anapiga yowe chumba kizima usiku kucha, shemeji kavumilia kashindwa katafuta marafiki waliosoma wote sijui chekechea huko kaenda kujibanza nao gheto
Hahahaha maisha magumu huleta ubunifu wa roho mbaya, lol kukesha unamkunja kama chapati mtoto wa watu kisa mdogo wake kajaza foleni! Lol lol
 
Umesahau kanuni nyingine...

...Ukiishi kwa shemeji yako hutakiwi kufuga nywele manake sabuni hata ikichukuliwa na panya, utasemwa wewe ndo huwa unamaliza sababu na hiyo minywele yako!
 
Mimi nakaa kwa shangazi tangu nikiwa darasa la sita mpaka sasa nimemaliza diploma 2020 na bado niko kwa shangazi.
ila sio utani hakuna mtu anayependa kukaa kwa watu ila ni mambo flan tuu hayajakaa vizuri, mm natamani hata niondoke leo ila nitaanza vipi.!
 
Kutokana na hali Ngumu ya maisha na tatizo la ajira vijana wengi tumeamua kurudisha mpira kwa kipa huku tukisubilia mambo yakae sawa tujipange upya na sis tufanye maisha yetu kama awali.. Wengine wamerudisha mpira kwa wazazi wao, wengine wamerudisha mpira kwa Ndugu, ila sisi Ma Pro na Ma Legendary tumerudisha mpira kwa mashemeji zetu walipo olewa dada zetu na hatujali..

Kama ilivyo kawaida kila kitu kina kanuni, sheria na taratibu zake endapo ukizifata zitakusaidia sana jins ya ku survive kipindi hichi kigumu cha mpito. Haya ni mambo muhimu sana ya kuzingatia pindi unapo rudisha mpira kwa shemeji yako.

1. Usipige Gym. Gym inamfanya mtu awe na confidence sana hivyo kupelekea kuingilia ugomvi pindi Shem wako anapo mkata dada yako makofi.. Pia Gym hufanya kiwango cha kula kuongezeka ivyo unapo kaa kwa mtu jitahidi sana uwe una kula kiasi kama wenyeji ulio wakuta..

2. Kamwe usije ingilia Ugomvi wa dada yako na shemeji yako pindi wakikusana/ kuzozana au hata kurushiana makofi.. Jitahidi sana kubaki chumbani kwako jifanye kama hujasikia kitu.. Ugomvi wa mke na mume always unakuwa ni wa muda tu lazima watapatana.. Vip kama uliingilia? Itakuwa ndio mwisho wako kukaa kwa shemeji..

3. Kin'gamuzi kikiisha either Dstv or Azam mwambie dada yako amwambie Shemeji yako / mme wake.. Hili litafanyika kwa haraka zaidi sababu Shemeji yako atajua ni kwa ajiri ya mke wake.. Wew shughulika na mambo kama Luku zikibakia unit chache mjuze shemeji yako hii itasaidia akuone active sana mfatiliaji..

4. Siku za weekend shemeji yako akiwepo jitahidi sana usishinde sebleni kwenye Tv. Hata ukiwa seblen basi jitahidi kukaa mbali na remote.. Sababu wengi huwa wanapenda weekend kuinjoi na familia zao wew pale unahesabika kama mzigo na sio part ya familia only dada yako anakuona memba wa familia..

5. Kamwe usije kuwa shabiki wa Team tofauti na anayo shabikia Shemeji yako. Hii huwa inajenga sana chuki hivyo ili uishi kwa aman kuwa team moja na shemeji yako .. Pia jitahidi sana kumsifia sifia.. Kama ana gari pia jitahidi sana kusifia gari yake ajue ndio dream car yako hata kama ni starlet or Vitz.

6. Usiwe unaleta marafiki zako nyumbani kwa shemeji yako.. Jitahidi sana wanao wote muwe mnakutana nje uko.. Sababu shemeji yako. Mashemeji zetu huwa wanaona sisi tunao kaa kwao kama tumesha feli maisha.. Ivyo huwa wana hisi hata marafiki zetu ni wale walio feli maisha wanawaona ni wezi tu.. Hivyo jitahidi sana kutopeleka marafiki kwa nyumbani kwa shemeji yako.

7. Jitahidi kila ukikaa kimaongezi na shemeji yako mwambie kuna Interview fulani nilipiga wamesema watanipigia simu ivyo nasubilia waniite.. Hii itampa moyo sana shemeji yako atajua soon ukipata kazi utaondoka kwake na ukakae kwako..


NB: Kama kijana usione aibu kurudisha mpira kwa kipa mambo yanapo kuwa magumu sababu kila mtu na maisha yake. Maneno yapo tu binadamu huwa hakosi cha kusema.. Na always mambo huwa yanabadilika hivyi ishi maisha yako.

Hii dhana ya kutuona watu tunao kaa kwa mashemeji zetu ni watu wadhaifu ife leo, Sababu baadhi yetu tumesha pitia mambo magumu na struggle za kila aina na tumesha wai shika hela ambazo wengine mbaka mnakuja kufa haiji tokea ukazishika kwa mkupuo.
Ha ha ha nimecheka sana,mimi sikuwahi kupata fursa ya kukaa kwa shemeji japo siku 2 tu
 
Sorry to say that but ur stupid! Alafu uko proud kabisa kukaa kwa shemejio miaka mi3? Unasubiri ugali kwa kengele? Mwanaume huyo! Hebu ona aibu kidogo, katafute hata vibarua vya ujenzi huko kwny masaiti kha!
St daddy na st mummy

Hawajui kuchakalika kabisa
 
Mie niligoma kuishi kwa bro kabisa nikazamia mjini kusaka kazi

Mwanaume mpaka nalala mtaroni lkn pakikucha mishe tu leo Mungu kasaidia


Kijana lzm apigane kunikwamua najua kazi zipo nyingi zisizo za rasmi lkn mdogo mdogo unafanikiwa

Ukijifanya Mie Nina elimu kubwa sijui nn utahangaika sana

Piga jobu yeyote ili mradi huharifu Sheria ya jamii
 
Kuna ndugu ukiishi nao hujuti, hata akiwa hayupo unahisi kuna kitu kimepungua, shida ni hawa ndugu mzigo
 
Back
Top Bottom