Mowwo
JF-Expert Member
- Aug 15, 2015
- 321
- 227
Mimi ni mwalimu wa secondary najishughulisha na shughuli ndogo ndogo huku natafuta kazi. Katika mojawapo ya shule ninazoomba naambiwa kama kujitolea nafasi ipo. Sijawahi kujitolea tokea nimemaliza chuo(3years ago).
Naomba kufahamu kutoka kwenu wadau, kuna uwezekano wa kupata kazi husika kama mtu akijitolea? Naweza kusitisha vishughuli vyangu vidogo vidogo nijitoe lakini ningependa kupata uzoefu kutoka kwenu.
Natanguliza shukrani🙏🙏
Naomba kufahamu kutoka kwenu wadau, kuna uwezekano wa kupata kazi husika kama mtu akijitolea? Naweza kusitisha vishughuli vyangu vidogo vidogo nijitoe lakini ningependa kupata uzoefu kutoka kwenu.
Natanguliza shukrani🙏🙏