Fernando sucre
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 293
- 344
Wakuu naomba kuuliza hivi ndege kama Emirates inaweza kubeba tonnes ngapi? Kwani sijawahi kuona ukizidisha mzigo wako wakati wa check in ukaambiwa rudisha zaidi utaambiwa ulipie kila kilo iliyozidi. Ina maana ndege inaweza beba uzito wowote?