farai alfred sulul
Member
- Jul 23, 2012
- 8
- 0
Tunaomba wadau wa maendeleo Tanzania kuchangia mawazo chanya ili kuboresha uzinduzi huo wa kitaifa siku ya tar;05/10/12..jijini Mwanza..TTN ni taasisi mpya ambayo imeanzishwa na kusajiliwa na walimu wenyewe kwa dhumuni la kuboresha fani ya Ualimu Tanzania...Tazama Katiba ya TTN apo kwenye attachments!..na tembelea TTN facebook page kwa maelezo zaidi!Wote mnakaribishwa !!