Uzinduzi wa noti mpya BoT 2010

Inawezekana sana wakafanya hivyo, ukizingatia noti zilizopo zishapoteza thamani. Inawezekana sasa wametengeneza noti ya elfu 20 na elfu 50 kama wenzetu Uganda. Mwenzake Mkapa alikaa madarakani miaka 10 bila kuleta not nyingine. Na zaidi sana not ya 10000 ilianza kuwa adimu. Lakini sasa not ya 10000 ndiyo iliyopo kwenye mzunguko. Hii ni hatari sana.
 
noti mpya tena, wachumi wanasemaje...!
Je! zahitajika kwa sasa ama ndo...inflation.
 
Sio leo kaka mtu, ni kesho Ijumaa. Nasikia wanatuletea noti ya 100,000 na pia itakuwa haina sign ya Mramba wala Balali . Hebu tusubiri tujione.
 
Wadau kuna tetesi kuwa leo BOT wanazindua noti mpya. Wenye data zaidi watujuze!
Niko bize kutengeneza mkokoteni wa kubebea hela nikienda shopping,tulikuwa tunaicheka Zimbabwe kiko wapi?si aheri ya Zimbabwe wao wana vikwazo na sisi je wenye amani,utulivu,midhahabu ,tutasingizia nini na huo mfumuko,muda si mrefu tutatembeza bakuli kwa RA na Mzee Mamvi
 
Wanataka waweze kutorosha amount kubwa za fedha kwa volume ndogo...nothing else!
 
Hivi hisa za makampuni makubwa Vodacom,Airtel,Migodi wanamiliki mafisadi wachache na Data zinaeleweka.wenzetu kenya Safaricom hisa zake ziliuzwa adharani.Mafisadi hao wamepewa tenda ya kutengeneza noti ,Maskini watanzania kazi kwenu mmekwisha au mnasubiri Masiya atakaporudi.Basi kesheni mkiomba na Mungu atawasikia endelea kulala.
 
Mwenye kufahamu hili jambo tafadhali ufafanuzi!

why does Paka sounds like operative most of time? lee me teelya: Its a good thing. the most important, BoT need not to devalue their karen. FaceBook is not Obama but a Chineese dude, they block Them fully Hungry by Mr. Marley. so lets talk over there, its ok, chinese would love that. Since your name is Rich Dad, here is what my Poor Dad told me in when, i was a Tanzanian. this one for you Richie, enjoy it.

Poor Dad is Rich Dad! Here's what he told me:
Contentment makes poor men rich; discontent makes rich men poor:
1. Love People not Money and Possessions
2. Choose your Friends Wisely
3. Resist the Urge to Compare Yourself with Others
4. Maintain an Appreciative Attitude
5. Satisfy your Spiritual need and respect that of others
6. Practice Continue Education by reading books and videos etc. You don't have to go to school for that. You can do it with your cells phones.
7. Choose your Friends Wisely

The Miseducation of Wabunifu
 
Wanataka waweze kutorosha amount kubwa za fedha kwa volume ndogo...nothing else!

Bro, go to your law firm and wait we gonna call you when we need you. This is freaknomics, you can say all theoris, but if i were you, I would just seek an understanding here. That is what we do on this underground rail road, ecom forum. However, on this great future, please dont forget your friends. and please, we will not kick you out, but rather we seek to help. but then, you have already jump to conclusion. I dont know your discipline but then, no one incourage that kind of hasty generalization of yours. I like you tho. dont get me wrong, i am just try to help the brother thats all. Kikwete actually is a right person as of today. so, lets talk how to help him. he actually stand for the samething that my buddy was preaching. forget the currency, Most countries have allowed to print, Just like New york. So, ukitaka nishushe vitu kama nyuzi, Use FB Jammi forums and i will see what i can do for Bro? Please only one time question. Gracias seneor Pussycat :)))) no ofensi pakashume :p
 
this is nothing but INFLATION, na bado watz mtalia sana maana hali inazidi kuwa ngumu kila kukicha vitu vinapanda kama sky rocketing..
 
this is nothing but INFLATION, na bado watz mtalia sana maana hali inazidi kuwa ngumu kila kukicha vitu vinapanda kama sky rocketing..

My fellow JFMallaba, on this underground rail road, we want supported Technical conclusion. We dont do cheap politiking, you got dat? We would like to hear ya, but what is your premesis? Start with what is inflation and what causes it. just to help be a good of our guest here. And please, i like you already, so Usitupe mti na Jongoo, pls come back.

If you are not sure you are welcome to ask any tough question with regaord to EAC members, economic policy and fiscal policy.
 
Sio leo kaka mtu, ni kesho Ijumaa. Nasikia wanatuletea noti ya 100,000 na pia itakuwa haina sign ya Mramba wala Balali . Hebu tusubiri tujione.


Hivi sasa signatures za hao kwenye red, zimeshaanza kuondolewa!
Kama mfuatiliaji mzuri utagundua kwa sasa kuna noti mpya za sh. 2,000 (zinazotumika sasa), ambazo zina signatures za Ndullu na Mkullo!
 
Kwa hal jinsi ilivyo ya laki moja itatufaa sana!
Bse laki unaweza imaliza ndani ya siku moja
 
Wadau kuna tetesi kuwa leo BOT wanazindua noti mpya. Wenye data zaidi watujuze!
kaka mtu, mimi nitakuwepo hapo ukumbi wa BOT wakati wa uzinduzi wa hizo noti mpya utakaofanywa na gavana Ndulu.

Wana jf kwa speculation ni mwisho, hebu na tusubiri hiyo kesho tuone hizo noti za laki na elfu hamsini zinazozungumzwa humu!.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom