Coke Zero
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 1,024
- 541
Mbona kienyeji enyeji hivi?
Ulitaka waitishe maandamano??
Mbona kienyeji enyeji hivi?
Bado sielewi kwanini vile vituo vimejengwa juu vile kama mabasi ndo haya, maana ile platform ipo almost katikati ya huo mlango.
Kwa hili la Speed bus Mheshimiwa Dhaifu nakupa Salute
Kama ni Salute mpe Ban Mkapa...project was drafted tangu 1997.
Sijaona wala kuvutiwa na vibarabara uchwara vya BRT
Ndo Haya!? Baada Ya Mwezi Mmoja Mtaniambia