COMPLICATOR2011
JF-Expert Member
- Jul 13, 2011
- 253
- 35
Nafuatilia kipindi cha uzinduzi wa mbio za mwenge wa uhuru tbc1, kwa kweli ni aibu tupu watu ni wachache sana achilia mbali hao waliova sare ambao naamini wamelipwa perdiem na taasisi zao ndio maana wako hapa. Kiufupi uzinduzi haujafana. Hlf kuna maswali 2 nataka niulize;
1. Kwa nini sherehe hizi mbili ziunganishwe maana naona sasa maana harisi ya kumbukumbu ya mwl. Nyerere haipo au ndio kutaka kumsahau kiaina?
2. Hivi mwenge huu wa uhuru unakimbizwa tanganyika tu au na zanzibar pia, kama ni tanganyika tu ni kwa nini uwemo kwenye vielelezo vya nguzo au alama za Taifa la tz.
1. Kwa nini sherehe hizi mbili ziunganishwe maana naona sasa maana harisi ya kumbukumbu ya mwl. Nyerere haipo au ndio kutaka kumsahau kiaina?
2. Hivi mwenge huu wa uhuru unakimbizwa tanganyika tu au na zanzibar pia, kama ni tanganyika tu ni kwa nini uwemo kwenye vielelezo vya nguzo au alama za Taifa la tz.