Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,005
- 9,872
Mgombea Urais kupitia CUF, Prof. Ibrahim Lipumba amezindua kampeni za chama hicho Mkoani Mtwara ambapo ameahidi kuboresha Huduma za Afya kwa wajawazito na watoto, kuimarisha Uchumi wa Baharini (Uvuvi), Elimu bora na kuimarisha Soko la Nafaka na Mazao mbalimbali
Prof. Lipumba amesema akichaguliwa yeye atakuwa Rais wa Mfano na ndio atakuwa Rais wa kwanza kutoka Tanzania kupewa Tuzo ya Mo Ibrahim. Anadai yeye ndio Profesa pekee anayetumika hadi Mataifa ya Nje kwenye Masuala ya Uchumi
Ameongeza kuwa Mwaka 2017, zao lililoongoza kwa kuuzwa nje lilikuwa korosho ambapo Tanzania iliuza Dola Mil. 530 lakini 2018 Serikali ya CCM ikafanya mambo yake, mauzo ya korosho yakapungua toka Dola Milioni 530 na kufikia Dola Milioni 110
Prof. Lipumba amesema akichaguliwa yeye atakuwa Rais wa Mfano na ndio atakuwa Rais wa kwanza kutoka Tanzania kupewa Tuzo ya Mo Ibrahim. Anadai yeye ndio Profesa pekee anayetumika hadi Mataifa ya Nje kwenye Masuala ya Uchumi
Ameongeza kuwa Mwaka 2017, zao lililoongoza kwa kuuzwa nje lilikuwa korosho ambapo Tanzania iliuza Dola Mil. 530 lakini 2018 Serikali ya CCM ikafanya mambo yake, mauzo ya korosho yakapungua toka Dola Milioni 530 na kufikia Dola Milioni 110