Emmani
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 524
- 137
Mkuu wangu chama,
Kwa wastani Chadema wanafanya mikutano Arusha kwa mwezi mara 20 kwa miezi sita wanafanya mikutano 120 wastani wa mkutano mmoja wanatumia milioni 30...kwa miezi 6 wanatumia zaidi ya milioni 300 ni matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi.
Tatizo la pro-CCM bana; vyama vya upinzani visipofanya mikutano mnaviita vyama vya msimu! vikifanya mikutano napo tena nogwa! oooh! wanafanya mikutano mara 20 kwa wiki...! so what?