Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,206
- 42,068
Ooooffffff:..........point...........
Mkuu Ritz
Makamanda kila siku wanadai Ritz, Chama na Zomba wanapokea posho Lumumba; cha ajabu kaulizetu zimekuwa huru kwenye kutetea maslahi ya CCM; ila wao makamanda wanaonyesha wazi kabisa wengi humu JF ni waganga njaa wanatumika kisiasa na wengine wanatumia sana JF kujitangaza ili wapewe nafasi za kugombea kupitia Chadema; wamekazania Zitto hafai ukiwauliza majibu hawana wamebaki kusema Zitto ni mbinafsi lakini hawabainishi ubinafsi wake upo wapi; kwenye mjadala huu sidhani kama utamuona Aweda,Mwanakijiji, Mwita Maranya na Matola wanawatumia makamanda uchwara waganga njaa kwasababu wanaujua ukweli umesimama wapi.
Chama
Gongo la mboto DSM