Uzinduzi wa kampeni za CHADEMA kata ya Daraja Mbili - Arusha

Ooooffffff:..........point...........

Mkuu Ritz
Makamanda kila siku wanadai Ritz, Chama na Zomba wanapokea posho Lumumba; cha ajabu kaulizetu zimekuwa huru kwenye kutetea maslahi ya CCM; ila wao makamanda wanaonyesha wazi kabisa wengi humu JF ni waganga njaa wanatumika kisiasa na wengine wanatumia sana JF kujitangaza ili wapewe nafasi za kugombea kupitia Chadema; wamekazania Zitto hafai ukiwauliza majibu hawana wamebaki kusema Zitto ni mbinafsi lakini hawabainishi ubinafsi wake upo wapi; kwenye mjadala huu sidhani kama utamuona Aweda,Mwanakijiji, Mwita Maranya na Matola wanawatumia makamanda uchwara waganga njaa kwasababu wanaujua ukweli umesimama wapi.

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu Ritz
Makamanda kila siku wanadai Ritz, Chama na Zomba wanapokea posho Lumumba; cha ajabu kaulizetu zimekuwa huru kwenye kutetea maslahi ya CCM; ila wao makamanda wanaonyesha wazi kabisa wengi humu JF ni waganga njaa wanatumika kisiasa na wengine wanatumia sana JF kujitangaza ili wapewe nafasi za kugombea kupitia Chadema; wamekazania Zitto hafai ukiwauliza majibu hawana wamebaki kusema Zitto ni mbinafsi lakini hawabainishi ubinafsi wake upo wapi; kwenye mjadala huu sidhani kama utamuona Aweda, Mwanakijiji, Mwita Maranya na Matola wanawatumia makamanda uchwara waganga njaa kwasababu wanaujua ukweli umesimama wapi.

Chama
Gongo la mboto DSM

Nakala: Mikael P Aweda, Mzee Mwanakijiji, Mwita Maranya, Matola, nk
 
Last edited by a moderator:
sasa ww chama suala la ZITO hapa limeingiaje? Hebu tujadili uzinduzi wa kampeni, unaweweseka na nn? B a gentle man o woman
 
Ritz at work!

Pole sana na utumwa unakunyanyapaa!Ungana na lile genge lako na mkachukue chenu kwa mafisadi na acha kutapika kama hujui dhamani ya utu wako kibinadamu!

Pole mtumwa asiyejijua!

Mkuu chama,
Makamanda kama kawaida yao wapo kazini wanatumika kisiasa.
 
Last edited by a moderator:
Ritz at work!

Pole sana na utumwa unakunyanyapaa!Ungana na lile genge lako na mkachukue chenu kwa mafisadi na acha kutapika kama hujui dhamani ya utu wako kibinadamu!

Pole mtumwa asiyejijua!

Mkuu Ritz
umewaona makamanda?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mkuu Ritz
Makamanda kila siku wanadai Ritz, Chama na Zomba wanapokea posho Lumumba; cha ajabu kaulizetu zimekuwa huru kwenye kutetea maslahi ya CCM; ila wao makamanda wanaonyesha wazi kabisa wengi humu JF ni waganga njaa wanatumika kisiasa na wengine wanatumia sana JF kujitangaza ili wapewe nafasi za kugombea kupitia Chadema; wamekazania Zitto hafai ukiwauliza majibu hawana wamebaki kusema Zitto ni mbinafsi lakini hawabainishi ubinafsi wake upo wapi; kwenye mjadala huu sidhani kama utamuona Aweda,Mwanakijiji, Mwita Maranya na Matola wanawatumia makamanda uchwara waganga njaa kwasababu wanaujua ukweli umesimama wapi.

Chama
Gongo la mboto DSM
wewe umezidi sasa mambo ya Zitto na mkutano wa daraja 2 kuna uhusiano ngani? Au ndio mmetumwa kumpa promo kwa kila khali
 
wewe umezidi sasa mambo ya Zitto na mkutano wa daraja 2 kuna uhusiano ngani? Au ndio mmetumwa kumpa promo kwa kila khali

Lakini si umesoma na kuelemika kidogo tatizo lipo wapi? Hata kwenye mahubiri ya jumapili wachungaji hutia habari za mitaani kuongeza chachandu kwenye mafundisho

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Mangwea enzi hizo alisifia sana CCM na kudai baba ndie aliejenga makao makuu. Akajidai kuwa yeye ni damu ya kijani, Katika nyimbo yake ya "Si ndio CCM".
Alivaa sana Kijani Na Njano.

Lakini Leo hii miaka michache tu imepita kauona ukweli, sio CCM wala Makao Makuu, na damu yake ni nyekundu wala si kijani, kaamua kutoa kibao cha "Masikini Wenzangu". Ndani kahoji Maisha bora yako wapi??? (Mwanzoni alidai anayo yeye).


Now to The Point: Leo Unafanyika ufunguzi wa kampeni za udiwani kata ya Daraja II, home to Joh Makini, Nikki, Bonta etc yaani "River Camp".

Ni wasanii wazuri wanao-hit kila mara, na wasomi sana tu kama Nikki na Bonta. Lakini sijawahi waona wakija kuhamasisha wananchi japo tu wajitokeze kupiga kura (haijalishi watachagua chama gani), sijawahi wasikia hata mara moja wakiweka misimamo yao ya kiitikadi hadharani.

River Camp na wengine wa Ara mko wapi?? Wateja wa miziki yenu ni hawa hawa wananchi wa Ara. Jitokezeni muwaambie ukweli, muwashauri.
Duniani Kote wasanii ndio kioo cha jamii.

Bob Marley aliikomboa mioyo mingi kwa mashairi yake.
USA Wasanii wengi na Wachezaji ndio wanaohimiza watu kupiga kura (bila kuangalia itikadi) lakini ingefaa zaidi kuchagua Obama.
Kenya kina Eric Wainana mpaka walihamishwa nchi.

Acheni ushamba njooni muikomboe Arusha, njooni tujibebe na sisi, tufungue na Studios, tuwekeze watu waje wanunue na kazi zenu.
Palipo na ukombozi pana opportunities, njooni achaneni na Ruge, ona alichowafanya kina Ngwea.


Much Respect to Shah Bang na Tarakimu.
 
Wewe umezidi sasa mambo ya Zitto na mkutano wa daraja 2 kuna uhusiano ngani? Au ndio mmetumwa kumpa promo kwa kila khali

Inasikitisha sana. Mashabiki wa Zitto humu JF ni Pro-CCM (Anti - CDM). Wenyewe wanadhani wanamsaidia kumbe wanazidi kumwaribia. Wanamsapoti Zitto wakati huo huo wanaponda Chama chake. Na hata siku moja hawajawai kumwalika ajiuenda na Chama chao kama kweli wanamtakia mema na ni Potential kwa Chama chao!
 
Mkuu Ritz
; kwenye mjadala huu sidhani kama utamuona Aweda,Mwanakijiji, Mwita Maranya na Matola wanawatumia makamanda uchwara waganga njaa kwasababu wanaujua ukweli umesimama wapi.

Chama
Gongo la mboto DSM

Una uhakika na unachosema? Tafadhali thibitisha
 
Hivi nimepotea njia au?

Nisaidieni wakuu, hapa tunafuatilia na kujadili mkutano wa daraja mbili au Zitto Kabwe?
 
Dogo janja ndani ya nyumba! Anahamasisha vijana wa daraja mbili wahakikishe ccm hawanunui shahada.
 
Dogo janja jukwaani: anasema kuna viongozi wa ccm wanashauri chadema mgombea wa kumsimamisha, nassari ana hoji tangu lini adui akakuelekeza mbinu za vita.
Anasema jk anacheza na farasi canada wakati kina mama wajawazito wanajifungulia sakafuni.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 

Inasikitisha sana. Mashabiki wa Zitto humu JF ni Pro-CCM (Anti - CDM). Wenyewe wanadhani wanamsaidia kumbe wanazidi kumwaribia. Wanamsapoti Zitto wakati huo huo wanaponda Chama chake. Na hata siku moja hawajawai kumwalika ajiuenda na Chama chao kama kweli wanamtakia mema na ni Potential kwa Chama chao!

Read btn the lines....
 
Hii ni chitchat au news reporting couse sioni cha maana kinachoendelea zaid ya porojo za ban hebu makamanda wenye akili hapo daraja 2 tupen adds!

hii forum.. Kama unataka news reporting tafuta gazeti.. Ijumaa litakufaa zaidi..
 
Back
Top Bottom