Uzinduzi wa kampeni za CHADEMA kata ya Daraja Mbili - Arusha

Asante kaka kwa kutumia muda wako kutujuza kinachoendelea hapo Ndarvoi, tunaendelea kukufuatilia.
BIG UP!!
 
Niko hapa tanzanite wazee club napata nyama choma nakuja sasa hivi hapo relini kujoin na mzee mungi.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Asante kaka kwa kutumia muda wako kutujuza kinachoendelea hapo Ndarvoi, tunaendelea kukufuatilia.
BIG UP!!
 
Ndugu yangu nakuambia usithubutu kuwagusa wale ndg zetu wanaovaa pekos, utakiona cha moto
Mungi usinichekeshe hiyo ilishanipeleka ban zaidi ya Mara tano. Ila Jana wakati natoka mtwara ambako CDM ipo juu sana kuliko Arusha nikashangaa kuona status yako inasomeka banned
 
Mzee wa mahakamani endelea kutujuza tunakuaminia mungi,vipi atakuwepo nani na nani?auni slaa pekeyake,

Mkuu kazi yangu ni mmoja tu, kuripotia matukio, kila atakayeingia hapa nitawaripotia
 
Namwona Ritz yuko hapa anauchungulia huu uzi kwa makini kwelikweli!!
 
Tunakushukuru sana Kamanda,tupo pamoja sana.Jitahidi na picha mbili tatu hivi itapendeza zaidi.
 
Ndugu yangu nakuambia usithubutu kuwagusa wale ndg zetu wanaovaa pekos, utakiona cha moto

Mungi, katika watu ambao nawaheshimu JF na wewe humo angalia usijivunjie heshima yako JF, kauli zako za kejeli dhidi ya imani nyingine ni kuleta chuki Jamvini, wewe unaweza kuona kawaida kutoa kejeli kuwaita wavaa pekos, lakini hujue watu wanakusoma na unajijengea chuki za bure.
 
Last edited by a moderator:
Mungi usinichekeshe hiyo ilishanipeleka ban zaidi ya Mara tano. Ila Jana wakati natoka mtwara ambako CDM ipo juu sana kuliko Arusha nikashangaa kuona status yako inasomeka banned

Mkuu wangu mi na wewe ndo tunaongoza kupigwa ban kwa ajili ya wale jamaa zetu.
 
Kwanza kabisa niwapongeze mods kwa busara zao za kipekee, maana kama siyo wao leo hii ningekuwa naendelea kuugulia ban.

Muda huu nipo kwenye eneo la mkutano wa uzinduzi wa kampeni katika uwanja wa Ndarvoi uliopo katika kata ya Daraja mbili.

Watu wanaendelea kuingia kwenye eneo la mkutano, tutaendelea kuwajuza kwa kila kitakachokuwa kinaendelea.

Jf daima!

Yupo pia Pepe mwimbaji machachari wa nyimbo peoples power, amekuja na cd za matukio ya M4C, zinaonyesha mpaka tukio la mauaji ya Daudi Mwangosi aleliyeuawa na polisi pamoja Ally Zona aliyeuawa morogoro


Mkuu usisahau kutuunganisha wote katika uwanja huo kwa njia ya picha za tukio zima.
 
Mungi, katika watu ambao nawaheshimu JF na wewe humo angalia usijivunjie heshima yako JF, kauli zako za kejeli dhidi ya imani nyingine ni kuleta chuki Jamvini, wewe unaweza kuona kawaida kutoa kejeli kuwaita wavaa pekos, lakini hujue watu wanakusoma na unajijengea chuki za bure.

hizo ndizo mada unazo weza kujadili zaidi yaani maada ikiwa na kaudini fulani hukosekani..
 
Last edited by a moderator:
Mungi, katika watu ambao nawaheshimu JF na wewe humo angalia usijivunjie heshima yako JF, kauli zako za kejeli dhidi ya imani nyingine ni kuleta chuki Jamvini, wewe unaweza kuona kawaida kutoa kejeli kuwaita wavaa pekos, lakini hujue watu wanakusoma na unajijengea chuki za bure.

Kwani kamtaja nani kwa imani yake?
Kuna watu wenye imani ya kuvaa Pekos? Acha kuweweseka bana!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom