Mungi usinichekeshe hiyo ilishanipeleka ban zaidi ya Mara tano. Ila Jana wakati natoka mtwara ambako CDM ipo juu sana kuliko Arusha nikashangaa kuona status yako inasomeka bannedNdugu yangu nakuambia usithubutu kuwagusa wale ndg zetu wanaovaa pekos, utakiona cha moto
Ndugu yangu nakuambia usithubutu kuwagusa wale ndg zetu wanaovaa pekos, utakiona cha moto
Niko hapa tanzanite wazee club napata nyama choma nakuja sasa hivi hapo relini kujoin na mzee mungi.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Kwanza kabisa niwapongeze mods kwa busara zao za kipekee, maana kama siyo wao leo hii ningekuwa naendelea kuugulia ban.
Ndugu yangu nakuambia usithubutu kuwagusa wale ndg zetu wanaovaa pekos, utakiona cha moto
Mungi usinichekeshe hiyo ilishanipeleka ban zaidi ya Mara tano. Ila Jana wakati natoka mtwara ambako CDM ipo juu sana kuliko Arusha nikashangaa kuona status yako inasomeka banned
Kwanza kabisa niwapongeze mods kwa busara zao za kipekee, maana kama siyo wao leo hii ningekuwa naendelea kuugulia ban.
Muda huu nipo kwenye eneo la mkutano wa uzinduzi wa kampeni katika uwanja wa Ndarvoi uliopo katika kata ya Daraja mbili.
Watu wanaendelea kuingia kwenye eneo la mkutano, tutaendelea kuwajuza kwa kila kitakachokuwa kinaendelea.
Jf daima!
Yupo pia Pepe mwimbaji machachari wa nyimbo peoples power, amekuja na cd za matukio ya M4C, zinaonyesha mpaka tukio la mauaji ya Daudi Mwangosi aleliyeuawa na polisi pamoja Ally Zona aliyeuawa morogoro
Mkuu Mungi,
Sijakusoma vizuri. Emu funguka.
TUMBIRI (PhD, University of HULL - United Kingdom),
tumbiri@jamiiforums.com
Mungi, katika watu ambao nawaheshimu JF na wewe humo angalia usijivunjie heshima yako JF, kauli zako za kejeli dhidi ya imani nyingine ni kuleta chuki Jamvini, wewe unaweza kuona kawaida kutoa kejeli kuwaita wavaa pekos, lakini hujue watu wanakusoma na unajijengea chuki za bure.
Mungi, katika watu ambao nawaheshimu JF na wewe humo angalia usijivunjie heshima yako JF, kauli zako za kejeli dhidi ya imani nyingine ni kuleta chuki Jamvini, wewe unaweza kuona kawaida kutoa kejeli kuwaita wavaa pekos, lakini hujue watu wanakusoma na unajijengea chuki za bure.
aaah aya bwana mi ngoja nikaoshwe miguu nitarudi baadae...best wishes
Mkuu TUMBIRI hiyo signature inamaanisha nini? Kabla hujapewa majibu
Mkuu Mungi,
Sijakusoma vizuri. Emu funguka.
TUMBIRI (PhD, University of HULL - United Kingdom),
tumbiri@jamiiforums.com