Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sipotezi muda Huu ndio ukweli. Wazanzibari hawachagui mzee huyo wa miaka 1000, tunachagua MwinyiAcha kupoteza muda wewe!
Twendeni na MwinyiSipotezi muda Huu ndio ukweli. Wazanzibari hawachagui mzee huyo wa miaka 1000, tunachagua MwinyiView attachment 1567785
Twendeni na MwinyiTwendeni na MwinyiView attachment 1567787
Chama Cha Mapinduzi Zanzibar leo tarehe 12 Septemba 2020 kinafanya mkutano wa uzinduzi wa Kampeni zake katika Uwanja wa Demokrasia, Kibandamaiti. Mgombea wa Kiti cha Urais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dokta Hussein Ally Mwinyi ataeleza dhamira yake ya kuitumikia Zanzibar....
Wanachama kwenye picha wengi wao hawaonyeshi kama ni wazanzibari.Chama Cha Mapinduzi Zanzibar leo tarehe 12 Septemba 2020 kinafanya mkutano wa uzinduzi wa Kampeni zake katika Uwanja wa Demokrasia, Kibandamaiti. Mgombea wa Kiti cha Urais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Dokta Hussein Ally Mwinyi ataeleza dhamira yake ya kuitumikia Zanzibar...
Aliojichekesha nani sasa apo? Endeleeni na propaganda mtaendelea kuisoma nambaHahahahaha kile call center ya CCM inafanya kazi, nimecheka sana jinsi walivyojifungulia uzi, wakajichekesha na kucheka yenyewe!!
Nyuzi mafunza tupu ya Lumumba hahahahaha!
Daah mmetia huruma uzi mzima ninyi tu mnaweka comment 10 10 bwahahahahahahaha!Aliojichekesha nani sasa apo? Endeleeni na propaganda mtaendelea kuisoma namba
HakikaaaaKwa mapokezi ya leo ni ishara ya tosha kuwa Mwinyi anakubalika Zanzibar
Hahahahaha kile call center ya CCM inafanya kazi, nimecheka sana jinsi walivyojifungulia uzi, wakajichekesha na kucheka yenyewe!!
Nyuzi mafunza tupu ya Lumumba hahahahaha!