Kiongozi mkuu2020
JF-Expert Member
- Aug 8, 2020
- 1,748
- 997
Tangu lini waliolelewa na kusomeshwa na kutunziwa familia zao na sisiemu halafu wakaikimbia? Thubutu.Naona Yupo na maazi ya ACT lakini pengine mawazo yapo CCM, maana ulimi unaongelea kilichomo kichwani